Tetesi: Dejan ashinda Kesi, Simba kumlipa 500 million

Tetesi: Dejan ashinda Kesi, Simba kumlipa 500 million

Mchezaji aliyewahi kuichezea Simba kwa siku 54 Dejan Georgijević ameshinda kesi ya madai dhidi ya Simba na anatakiwa kulipwa milion 500 za Kitanzania kwa kukiukwa mkataba wake wakati anachezea Simba, FIFA imeipa Simba siku 45 kuhakikisha inalipa fedha hizo.

NB: Mlete mzungu [emoji23][emoji23][emoji112]

View attachment 2996160
MWOSHA HUOSHWAAAA

WE.PUNGUAN AHMED ALLY UKIKUWA UNAPIGA KELELE ZA KAMBOLEEEE ZAMU YAKOOO SASAAA

NKETEEEENTHUNGHHHHUUUUUU

NLEYEEEENTHINGUUUUUUUUUUU

NLETEEEEEMIL500

FYUUUUUU
 
Azam.akimsubiria yanga manyara wazeni kulipa siee haooo
 

Attachments

  • 1716312028497.jpg
    1716312028497.jpg
    231.6 KB · Views: 1
Huyu mchezaji alikatisha mkataba mwenyewe ceo alikuwa Babra.
Yeye ndio alitakiwa ailipe Simba Kama kweli kutakuwa na utakatishaji wa pesa Simba .
 
Mchezaji aliyewahi kuichezea Simba kwa siku 54 Dejan Georgijević ameshinda kesi ya madai dhidi ya Simba na anatakiwa kulipwa milion 500 za Kitanzania kwa kukiukwa mkataba wake wakati anachezea Simba, FIFA imeipa Simba siku 45 kuhakikisha inalipa fedha hizo.

NB: Mlete mzungu [emoji23][emoji23][emoji112]

View attachment 2996160
Source??
 
Kwani mkataba si alivunja mwenyewe kule Zanzibar?au hawa wageni wameshaona Tanzania sehemu ya kuchuma?
Nakubaliana na maoni yako. Sioni sababu ya Simba kumlipa Dejan aliyekatisha mkataba miezi miwili tu baada ya kuanza kazi.
Halafu timu zetu pia zijifunze kuacha usajili wa kukurupuka. Dejan aliletwa na kocha ukionekana kabisa ni usajili wa mchongo. Ahmed Ally akashadadia "Mlete Mudhungu kumbe tapeli. Ahmed akatwe mshahara achangie malipo.
Juzi nimemsikia Wanda Kidi wa mchongo eti anaishitaki timu ambayo hajawahi kucheza hata Mechi moja wala kufika nchini. Huu uhuni TFF ukataeni mnaumiza vilabu vyenu Kwa kupokea Kila kitu toka FIFA bila kuhoji.
 
Back
Top Bottom