Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja awamalizie bajeti ya usajiliWamemdhulumu mzungu
MWOSHA HUOSHWAAAAMchezaji aliyewahi kuichezea Simba kwa siku 54 Dejan Georgijević ameshinda kesi ya madai dhidi ya Simba na anatakiwa kulipwa milion 500 za Kitanzania kwa kukiukwa mkataba wake wakati anachezea Simba, FIFA imeipa Simba siku 45 kuhakikisha inalipa fedha hizo.
NB: Mlete mzungu [emoji23][emoji23][emoji112]
View attachment 2996160
Elewa maana ya kushinda kesi kwanza kabla hujatia huruma.Chonde chonde huyo mtu tunaomba Uongozi msimlipe, Kateni rufaa...
Kwa kuwa hamkumfukuza , Yeye aliondoka Mwenyewe Wakati Sisi tulikuwa tunamuhitaji...
Hamna hela ya mchezo mchezo
Yenu mmeshamaliza?Yale yale.
Source??Mchezaji aliyewahi kuichezea Simba kwa siku 54 Dejan Georgijević ameshinda kesi ya madai dhidi ya Simba na anatakiwa kulipwa milion 500 za Kitanzania kwa kukiukwa mkataba wake wakati anachezea Simba, FIFA imeipa Simba siku 45 kuhakikisha inalipa fedha hizo.
NB: Mlete mzungu [emoji23][emoji23][emoji112]
View attachment 2996160
Nakubaliana na maoni yako. Sioni sababu ya Simba kumlipa Dejan aliyekatisha mkataba miezi miwili tu baada ya kuanza kazi.Kwani mkataba si alivunja mwenyewe kule Zanzibar?au hawa wageni wameshaona Tanzania sehemu ya kuchuma?