Tetesi: Dejan ashinda Kesi, Simba kumlipa 500 million

Tetesi: Dejan ashinda Kesi, Simba kumlipa 500 million

Nakubaliana na maoni yako. Sioni sababu ya Simba kumlipa Dejan aliyekatisha mkataba miezi miwili tu baada ya kuanza kazi.
Halafu timu zetu pia zijifunze kuacha usajili wa kukurupuka. Dejan aliletwa na kocha ukionekana kabisa ni usajili wa mchongo. Ahmed Ally akashadadia "Mlete Mudhungu kumbe tapeli. Ahmed akatwe mshahara achangie malipo.
Juzi nimemsikia Wanda Kidi wa mchongo eti anaishitaki timu ambayo hajawahi kucheza hata Mechi moja wala kufika nchini. Huu uhuni TFF ukataeni mnaumiza vilabu vyenu Kwa kupokea Kila kitu toka FIFA bila kuhoji.
[emoji23][emoji23]
 
Kwani kuna nini cha zaidi. Hivi hao FIFA wanaelewa lakini madhara wanayotaka kuyaleta? Kweli tutoe pesa zote hizo tumpe mtu mmoja!? Je wale vibarua kwa mo kule ndani atawalipa nani? FIFA naomba mtoe hukumu kws HAKI, hiyo pesa nying sana kanjibai atatuua sisi wa viwandani
Itakuwa unajua mengi.maana madereva walikuwa wanatishia kugoma kwa kukatwa posho za safari, ikiwemo gari inapoharibika na kuka muda mrefu kungoja matengenezo.
 
Kwani mkataba si alivunja mwenyewe kule Zanzibar?au hawa wageni wameshaona Tanzania sehemu ya kuchuma?
Mikataba Ina vipengele vingi.kuna vipengele kadha hawakumtekelea .Kama apartment ya pekeeake,wakisafiri kulala room pekeake.gari havikutekelezwa.kisheria Simba alikiuka makubaliano so alikuwa na haki kuuvunja na kulipwa
 
Mikataba Ina vipengele vingi.kuna vipengele kadha hawakumtekelea .Kama apartment ya pekeeake,wakisafiri kulala room pekeake.gari havikutekelezwa.kisheria Simba alikiuka makubaliano so alikuwa na haki kuuvunja na kulipwa
Je hizo ni sababu za kuvunja mkataba, Kama ni sababu thamani yake ni milioni. 500?
 
Mikataba Ina vipengele vingi.kuna vipengele kadha hawakumtekelea .Kama apartment ya pekeeake,wakisafiri kulala room pekeake.gari havikutekelezwa.kisheria Simba alikiuka makubaliano so alikuwa na haki kuuvunja na kulipwa
Je hizo ni sababu za kuvunja mkataba
 
Screenshot_2024-05-21-17-17-28-1.png
 
Mchezaji aliyewahi kuichezea Simba kwa siku 54 Dejan Georgijević ameshinda kesi ya madai dhidi ya Simba na anatakiwa kulipwa milion 500 za Kitanzania kwa kukiukwa mkataba wake wakati anachezea Simba, FIFA imeipa Simba siku 45 kuhakikisha inalipa fedha hizo.

NB: Mlete mzungu [emoji23][emoji23][emoji112]

View attachment 2996160
haya,walikuwa wanawacheka yanga,sasa kiko wapi
 
Mchezaji aliyewahi kuichezea Simba kwa siku 54 Dejan Georgijević ameshinda kesi ya madai dhidi ya Simba na anatakiwa kulipwa milion 500 za Kitanzania kwa kukiukwa mkataba wake wakati anachezea Simba, FIFA imeipa Simba siku 45 kuhakikisha inalipa fedha hizo.

NB: Mlete mzungu [emoji23][emoji23][emoji112]

View attachment 2996160
Hivi hicho kibunda anapiga pekeake kweli?
 
Back
Top Bottom