Tetesi: Dejan ashinda Kesi, Simba kumlipa 500 million

MWOSHA HUOSHWAAAA

WE.PUNGUAN AHMED ALLY UKIKUWA UNAPIGA KELELE ZA KAMBOLEEEE ZAMU YAKOOO SASAAA

NKETEEEENTHUNGHHHHUUUUUU

NLEYEEEENTHINGUUUUUUUUUUU

NLETEEEEEMIL500

FYUUUUUU
 
Huyu mchezaji alikatisha mkataba mwenyewe ceo alikuwa Babra.
Yeye ndio alitakiwa ailipe Simba Kama kweli kutakuwa na utakatishaji wa pesa Simba .
 
MWOSHA HUOSHWAAAA

WE.PUNGUAN AHMED ALLY UKIKUWA UNAPIGA KELELE ZA KAMBOLEEEE ZAMU YAKOOO SASAAA

NKETEEEENTHUNGHHHHUUUUUU

NLEYEEEENTHINGUUUUUUUUUUU

NLETEEEEEMIL500

FYUUUUUU
Kimeumana
 
Source??
 
Kwani mkataba si alivunja mwenyewe kule Zanzibar?au hawa wageni wameshaona Tanzania sehemu ya kuchuma?
Nakubaliana na maoni yako. Sioni sababu ya Simba kumlipa Dejan aliyekatisha mkataba miezi miwili tu baada ya kuanza kazi.
Halafu timu zetu pia zijifunze kuacha usajili wa kukurupuka. Dejan aliletwa na kocha ukionekana kabisa ni usajili wa mchongo. Ahmed Ally akashadadia "Mlete Mudhungu kumbe tapeli. Ahmed akatwe mshahara achangie malipo.
Juzi nimemsikia Wanda Kidi wa mchongo eti anaishitaki timu ambayo hajawahi kucheza hata Mechi moja wala kufika nchini. Huu uhuni TFF ukataeni mnaumiza vilabu vyenu Kwa kupokea Kila kitu toka FIFA bila kuhoji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…