Dejan wa Simba SC afunga goli huku akiwa amefumba macho

Dejan wa Simba SC afunga goli huku akiwa amefumba macho

Goli Mzungu amefunga baada ya kipa wa Kagera kugongana na mchezaji. Golini hakukuwa na Kipa. Na refa hakusimamisha mchezo. Haikuwa Fair Play. Ila Simba afanyiwe hicho kitendo Afungwe yeye sasa. Utaskia Mwamuzi kafungiwa, CEO karopoka, Visipika Karopoka, Wachambuzi wa mchongo wana ropoka. Ila kwa wengine Fresh tu.
Kwahyo ulitakamfungaji asubiri kipa akae golini!?


Utopolo FC kweli mwenye akilli ni Mzee kikwete na Mzee Sunday Manara Tu,

Wengine wote vichwa vyao ni vifuniko vya shingo.
 
Goli Mzungu amefunga baada ya kipa wa Kagera kugongana na mchezaji. Golini hakukuwa na Kipa. Na refa hakusimamisha mchezo. Haikuwa Fair Play. Ila Simba afanyiwe hicho kitendo Afungwe yeye sasa. Utaskia Mwamuzi kafungiwa, CEO karopoka, Visipika Karopoka, Wachambuzi wa mchongo wana ropoka. Ila kwa wengine Fresh tu.
Ngoja aanze kwenda mikoani huko, watamtukana sana mzungu wa watu.
 
Goli Mzungu amefunga baada ya kipa wa Kagera kugongana na mchezaji. Golini hakukuwa na Kipa. Na refa hakusimamisha mchezo. Haikuwa Fair Play. Ila Simba afanyiwe hicho kitendo Afungwe yeye sasa. Utaskia Mwamuzi kafungiwa, CEO karopoka, Visipika Karopoka, Wachambuzi wa mchongo wana ropoka. Ila kwa wengine Fresh tu.
Comments hizi kinamna zinaendana na avatar hiyo uliyochagua
 
Goli Mzungu amefunga baada ya kipa wa Kagera kugongana na mchezaji. Golini hakukuwa na Kipa. Na refa hakusimamisha mchezo. Haikuwa Fair Play. Ila Simba afanyiwe hicho kitendo Afungwe yeye sasa. Utaskia Mwamuzi kafungiwa, CEO karopoka, Visipika Karopoka, Wachambuzi wa mchongo wana ropoka. Ila kwa wengine Fresh tu.
Ebu ficha ujinga wako mkuu hata kama wenye akili pale ni wawili tu.
 
Kelele za utani ndio zimesaidia bila Hivyo asingefunga alitaka kujisafisha!
Msimu ujao mtuletee mchina!
 
Kwahyo ulitakamfungaji asubiri kipa akae golini!?


Utopolo FC kweli mwenye akilli ni Mzee kikwete na Mzee Sunday Manara Tu,

Wengine wote vichwa vyao ni vifuniko vya shingo.
Tulitaka refa apulize filimbi. Faulo baada ya kipa kugongwa kichwani.
 
Goli Mzungu amefunga baada ya kipa wa Kagera kugongana na mchezaji. Golini hakukuwa na Kipa. Na refa hakusimamisha mchezo. Haikuwa Fair Play. Ila Simba afanyiwe hicho kitendo Afungwe yeye sasa. Utaskia Mwamuzi kafungiwa, CEO karopoka, Visipika Karopoka, Wachambuzi wa mchongo wana ropoka. Ila kwa wengine Fresh tu.
Ikitokea lini mkuu? Au unataka tuamini mawazo yako [emoji23]

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
Pole sana mkuu wangu
Goli Mzungu amefunga baada ya kipa wa Kagera kugongana na mchezaji. Golini hakukuwa na Kipa. Na refa hakusimamisha mchezo. Haikuwa Fair Play. Ila Simba afanyiwe hicho kitendo Afungwe yeye sasa. Utaskia Mwamuzi kafungiwa, CEO karopoka, Visipika Karopoka, Wachambuzi wa mchongo wana ropoka. Ila kwa wengine Fresh tu.
 
Back
Top Bottom