Kwahyo ulitakamfungaji asubiri kipa akae golini!?Goli Mzungu amefunga baada ya kipa wa Kagera kugongana na mchezaji. Golini hakukuwa na Kipa. Na refa hakusimamisha mchezo. Haikuwa Fair Play. Ila Simba afanyiwe hicho kitendo Afungwe yeye sasa. Utaskia Mwamuzi kafungiwa, CEO karopoka, Visipika Karopoka, Wachambuzi wa mchongo wana ropoka. Ila kwa wengine Fresh tu.
Ngoja aanze kwenda mikoani huko, watamtukana sana mzungu wa watu.Goli Mzungu amefunga baada ya kipa wa Kagera kugongana na mchezaji. Golini hakukuwa na Kipa. Na refa hakusimamisha mchezo. Haikuwa Fair Play. Ila Simba afanyiwe hicho kitendo Afungwe yeye sasa. Utaskia Mwamuzi kafungiwa, CEO karopoka, Visipika Karopoka, Wachambuzi wa mchongo wana ropoka. Ila kwa wengine Fresh tu.
Comments hizi kinamna zinaendana na avatar hiyo uliyochaguaGoli Mzungu amefunga baada ya kipa wa Kagera kugongana na mchezaji. Golini hakukuwa na Kipa. Na refa hakusimamisha mchezo. Haikuwa Fair Play. Ila Simba afanyiwe hicho kitendo Afungwe yeye sasa. Utaskia Mwamuzi kafungiwa, CEO karopoka, Visipika Karopoka, Wachambuzi wa mchongo wana ropoka. Ila kwa wengine Fresh tu.
Ebu ficha ujinga wako mkuu hata kama wenye akili pale ni wawili tu.Goli Mzungu amefunga baada ya kipa wa Kagera kugongana na mchezaji. Golini hakukuwa na Kipa. Na refa hakusimamisha mchezo. Haikuwa Fair Play. Ila Simba afanyiwe hicho kitendo Afungwe yeye sasa. Utaskia Mwamuzi kafungiwa, CEO karopoka, Visipika Karopoka, Wachambuzi wa mchongo wana ropoka. Ila kwa wengine Fresh tu.
Tulitaka refa apulize filimbi. Faulo baada ya kipa kugongwa kichwani.Kwahyo ulitakamfungaji asubiri kipa akae golini!?
Utopolo FC kweli mwenye akilli ni Mzee kikwete na Mzee Sunday Manara Tu,
Wengine wote vichwa vyao ni vifuniko vya shingo.
Ingekuwa kwenu. Midomo inge jaa Ndoo.Comments hizi kinamna zinaendana na avatar hiyo uliyochagua
Ikitokea lini mkuu? Au unataka tuamini mawazo yako [emoji23]Goli Mzungu amefunga baada ya kipa wa Kagera kugongana na mchezaji. Golini hakukuwa na Kipa. Na refa hakusimamisha mchezo. Haikuwa Fair Play. Ila Simba afanyiwe hicho kitendo Afungwe yeye sasa. Utaskia Mwamuzi kafungiwa, CEO karopoka, Visipika Karopoka, Wachambuzi wa mchongo wana ropoka. Ila kwa wengine Fresh tu.
Baada ya goal mbona kipa alikuwa poa Wala hatukuona madhar ya kugongwa kichwani?Tulitaka refa apulize filimbi. Faulo baada ya kipa kugongwa kichwani.
Kwahiyo hadi aumwe? Kipa akisongwa na mchezaji kwa kugongana ni faulo. Tena mmoja ali umia hadi kulala uwanjani muda wote wa goli.Baada ya goal mbona kipa alikuwa poa Wala hatukuona madhar ya kugongwa kichwani?
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Uli angalia mpira au una comment kwa story tu[emoji1787][emoji1787]Ikitokea lini mkuu? Au unataka tuamini mawazo yako [emoji23]
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Mbona mnaumia sana,uchawi huu.Baada ya kufunga hako kagoli kamoja, huwezi kuwasikia tena wakimtaja yule mshambuliaji wao Manzoki!
Hawa viumbe ni wasahaulifu mpaka basi.
amekufa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo aliyelala vp tena
Goli Mzungu amefunga baada ya kipa wa Kagera kugongana na mchezaji. Golini hakukuwa na Kipa. Na refa hakusimamisha mchezo. Haikuwa Fair Play. Ila Simba afanyiwe hicho kitendo Afungwe yeye sasa. Utaskia Mwamuzi kafungiwa, CEO karopoka, Visipika Karopoka, Wachambuzi wa mchongo wana ropoka. Ila kwa wengine Fresh tu.
Ngoja aanze kwenda mikoani huko, watamtukana sana mzungu wa watu.
Tumemchukuwa Mzungu especially for CAF,Ngoja aanze kwenda mikoani huko, watamtukana sana mzungu wa watu.
Kumbe kipa anasubiriwa akae golini?Kipa mwenyewe hakuwa golini