Dele Ali: Nililawitiwa nikiwa na miaka 6. Nikiwa na miaka 8 nikaanza kuuza dawa za kulevya

Dele Ali: Nililawitiwa nikiwa na miaka 6. Nikiwa na miaka 8 nikaanza kuuza dawa za kulevya

Hajafafanunua kama aliingiliwa kimwili na mwanaume,alidhalilishwa kingono na rafiki wa msma yake .. huenda mwanamke.

Kusema ulilawitiwa kwa mwanaume si rahisi hasa kwa nunda kama dele.
Sitaki kuamini kama aliingiliwa na mwanaume.
Neno alilotumia "Molested" lina maana pana na hapo hajafafanua kwake yeye ilikuwa namna ipo.
IMG_20230714_073750.jpg
 
Ushoga upigwe Vita na ulaaniwe
Uwezi tindukiwa kinyeo ukakabane na kina ngolo kante au Sergio Ramos[emoji28]
Kwamba mashoga hawawezi cheza [emoji460]? Unajidanganya baba J
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hajafafanunua kama aliingiliwa kimwili na mwanaume,alidhalilishwa kingono na rafiki wa msma yake .. huenda mwanamke.

Kusema ulilawitiwa kwa mwanaume si rahisi hasa kwa nunda kama dele.
Sitaki kuamini kama aliingiliwa na mwanaume.
Mabaunsa na mbavu nene wenyewee wana ukalilia na kuulilia sana tyuuh.
 
Mabaunsa na mbavu nene wenyewee wana ukalilia na kuulilia sana tyuuh.
Umenikumbusha kitambo niliingia kwenye lodge moja hv nikiwa na malengo mawili mwanzo kuvunja amri ya sita pili kwenda kuiba ac ya kile chumba


Wakat nipo mapokez kuandika taarifa zangu ili nipate chumba tukawashuhudia jamaa black kidal kidal kwel na mwarabu mwenye ndevu za wastan mwembamba mwili wa mazoez wakitoka pamoja upande wenye vyumba


Kabla hatujauliza muhudumu akafunguka msiwashangae hao kawaida yao kuchukua chumba na baada ya saa kadhaa wanaenda zao na km unavyowaona haijulikan hata ni nan anayebanduka
 
Umenikumbusha kitambo niliingia kwenye lodge moja hv nikiwa na malengo mawili mwanzo kuvunja amri ya sita pili kwenda kuiba ac ya kile chumba


Wakat nipo mapokez kuandika taarifa zangu ili nipate chumba tukawashuhudia jamaa black kidal kidal kwel na mwarabu mwenye ndevu za wastan mwembamba mwili wa mazoez wakitoka pamoja upande wenye vyumba


Kabla hatujauliza muhudumu akafunguka msiwangae hao kawaida yao kuchukua chumba na baada ya saa kadhaa wanaenda zao na km unavyowaona haijulikan hata ni nan anayebanduka
Sasa AC ulikua unaibebaje na unapitisha mlango au dirisha gani?? Kweli mwamba ulivurungwa wanasemaga penye nia pana....
 
Umenikumbusha kitambo niliingia kwenye lodge moja hv nikiwa na malengo mawili mwanzo kuvunja amri ya sita pili kwenda kuiba ac ya kile chumba


Wakat nipo mapokez kuandika taarifa zangu ili nipate chumba tukawashuhudia jamaa black kidal kidal kwel na mwarabu mwenye ndevu za wastan mwembamba mwili wa mazoez wakitoka pamoja upande wenye vyumba


Kabla hatujauliza muhudumu akafunguka msiwangae hao kawaida yao kuchukua chumba na baada ya saa kadhaa wanaenda zao na km unavyowaona haijulikan hata ni nan anayebanduka
Hao ni wanakulana zamu zamu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
"I was sent to Africa to learn discipline and then I was sent back.

Nishawahi sikia stori ya namna huyu bwana mdogo anavyowachukia wazazi wake wa kumzaa, kiasi kwamba alikuwa anawakana kwamba si wazazi wake...

Huenda ni chuki iliyosababishwa na kitendo kama hicho cha kubakwa na rafiki wa mama yake...
 
Back
Top Bottom