Elimu niiombayo ni ya tafsiri (maana), muda na namna ya kutumia na sababu ya kuwepo kwao. Nauliza kwa sababu sielewi tu, nilikuwa katika taasisi fulani hv karibuni na kulikuwa na miradi mikubwa na ya haraka.
Sasa unaenda kwa mkaguzi wa ndani (preauditor) anagoma kupitisha ikiwa moja ya nyaraka hizo hapo juu hazipo. Ajabu ni kuwa ukirudi baadae ukiwa umeambatanisha anakupitishia.
Ukieaana gani.nda kwa afisa manunuzi atakwambia sijui form na.2 hakuna, mara sijui fomu ya uhakiki hakuna. Ukitoka dakika mbili tatu na kurudi nazo anakupitishia. Hali hiyo ipo hivyo kwa wote.....afya, elimu n.k.
Ukweli ni kuwa wengi tunaenda na kujijazia tu hayo mafomu hatujui chochote kile. Hatujui maana, sababu wala mpangilio wake....kipi kinaanza kipi kinafuata.
-Nesi anakurupushwa akanunue vifaa vya ujenzi wa jengo la zahanati anajijazia bila kujua anajaza nini.
-Mwalimu anatolewa darasani akanunue vifaa vya ujenzi wa darasa na kujikuta anajazishwa hayo mafomu lakini hakuna hata moja anayoielewa ina maana gani.
Uchunguzi wangu unaonyesha sasa hivi walimu na manesi wanajua vizuri kweli kweli kuzitaja hizo nyaraka na kuzijaza ipasavyo lakini hawajui HATA kidogo ni vitu gani hivyo.
Nimeshuhudia hizo fomu zote zikijazwa siku moja tu na malipo kupitishwa huku vifaa vikiwa vimeshajenga tayari. Naomba msaada wa elimu hiyo viongozi. Ahsante!
Sasa unaenda kwa mkaguzi wa ndani (preauditor) anagoma kupitisha ikiwa moja ya nyaraka hizo hapo juu hazipo. Ajabu ni kuwa ukirudi baadae ukiwa umeambatanisha anakupitishia.
Ukieaana gani.nda kwa afisa manunuzi atakwambia sijui form na.2 hakuna, mara sijui fomu ya uhakiki hakuna. Ukitoka dakika mbili tatu na kurudi nazo anakupitishia. Hali hiyo ipo hivyo kwa wote.....afya, elimu n.k.
Ukweli ni kuwa wengi tunaenda na kujijazia tu hayo mafomu hatujui chochote kile. Hatujui maana, sababu wala mpangilio wake....kipi kinaanza kipi kinafuata.
-Nesi anakurupushwa akanunue vifaa vya ujenzi wa jengo la zahanati anajijazia bila kujua anajaza nini.
-Mwalimu anatolewa darasani akanunue vifaa vya ujenzi wa darasa na kujikuta anajazishwa hayo mafomu lakini hakuna hata moja anayoielewa ina maana gani.
Uchunguzi wangu unaonyesha sasa hivi walimu na manesi wanajua vizuri kweli kweli kuzitaja hizo nyaraka na kuzijaza ipasavyo lakini hawajui HATA kidogo ni vitu gani hivyo.
Nimeshuhudia hizo fomu zote zikijazwa siku moja tu na malipo kupitishwa huku vifaa vikiwa vimeshajenga tayari. Naomba msaada wa elimu hiyo viongozi. Ahsante!