DELL kupunguza Wafanyakazi 6,650 baada ya soko la Kompyuta kushuka duniani

DELL kupunguza Wafanyakazi 6,650 baada ya soko la Kompyuta kushuka duniani

Market share ya pc kwa mwaka 2021, Lenovo: 24%, HP: 21%, Dell: 17%, Apple: 8%

Maana yake kama pc 1000 ziliuzwa mwaka 2021 basi kila kampuni itakuwa imeuza idadi ifuatayo.

Lenovo: 240 pcs
HP: 210 PCs
Dell: 170PCs
Apple: 80PCs

Kutelemka kwa mauzo mwaka 2022 kwa mujibu taarifa iliyopo, Lenovo: 28%, Dell: 37%, HP: 29% na Apple: 2%
Baada ya mauzo kushuka idadi ya pc kwa kila kampuni itakuwa kama ifuatavyo
HP: 210 - (210*29%) = 149 PCs
Lenovo: 240 - (240*28%) = 172 PCs
Dell: 170 - (170*37%) = 107 PCs
Apple: 80 - (80 * 2%) = 78 PCs

Kwa hesabu hizo hapo ni kampuni ipi ambayo imeuza PCs nyingi zaidi kwa mwaka 2022? Na ukiulizwa kampuni ipi imeongoza kwa mauza unasema ni apple?
Au definition ya mauzo kwako ikoje?
dah ! haya ambo ndio yalinishinda mpaka nikakimbia shule mmae.

oya ngoja nikavute ganja kwanza nitakucheck mida au sio ?⛷
 
computer zote nzuri ila unakuta nyingi znakua bei kubwa sana

Niliona ya apple ya mwaka jana macbook pro inafika 11milion za madafu[emoji2][emoji2].

Halafu kwenye PC sio kama ktk simu,kwenye PC apple ni moja ya kampuni zinazouza PC afandhali[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Marketing

Marketing ni small part, mauzo yao mengi asilimia kubwa hayatoki kwenye computers ,ni kwenye simu, ikifuatiwa na computers.
What apple sells is an idea na vile all their device ni top range , hawana mid range devices kama kampuni zingine.
 
kwa nini Apple anauza sana computers zao wakati computers zenyewe hata haziko kikazi kama computers zinazotumia Windows ? [emoji848]
Computer za apple haziko kikazi?

Umenishangaza kwa hii comment... do your research again.
 
Computer za apple haziko kikazi?

Umenishangaza kwa hii comment... do your research again.
kwenye macOs unaweza uka install drivers mfano mtk,Qualcomm,SPD kwa sisi tunao deal na softwares za simu ?
unaweza uka copy na ku paste data kwenye simu kutoka kwenye macBook kutumia macOs ?

naposema kikazi hunielewi ?
 
Market share ya pc kwa mwaka 2021, Lenovo: 24%, HP: 21%, Dell: 17%, Apple: 8%

Maana yake kama pc 1000 ziliuzwa mwaka 2021 basi kila kampuni itakuwa imeuza idadi ifuatayo.

Lenovo: 240 pcs
HP: 210 PCs
Dell: 170PCs
Apple: 80PCs

Kutelemka kwa mauzo mwaka 2022 kwa mujibu taarifa iliyopo, Lenovo: 28%, Dell: 37%, HP: 29% na Apple: 2%
Baada ya mauzo kushuka idadi ya pc kwa kila kampuni itakuwa kama ifuatavyo
HP: 210 - (210*29%) = 149 PCs
Lenovo: 240 - (240*28%) = 172 PCs
Dell: 170 - (170*37%) = 107 PCs
Apple: 80 - (80 * 2%) = 78 PCs

Kwa hesabu hizo hapo ni kampuni ipi ambayo imeuza PCs nyingi zaidi kwa mwaka 2022? Na ukiulizwa kampuni ipi imeongoza kwa mauza unasema ni apple?
Au definition ya mauzo kwako ikoje?
Akili kubwa
 
Back
Top Bottom