Dem ananishangaa tabia yangu.

Nashukuru sana dingii kwa ushauri wako ntaufanyia kazi.
 
Pelekea makali huyo manzi ukimpa bapa dharau
 
Vijana wa Arusha na Nairobi wanajifanya wajuaji sana lakini n vichwa Nazi tu ovyo kabisa...
 
Yaani ni fulu fululu mpaka Mbulu kwa Mama Sululu.![emoji23][emoji23]
 
utoto raha
 


Dah! Hizi nyuzi zingekua na video zake ingekua poa sana... Najaribu tu kujenga picha kichwani ya scene ya interview yako na mam'dii
 
Write your reply...acha usoro dingilai ungetupia verse mbona unakuwa mshambaa Kama njeree mchane live huyo mamiloo unaogopa nini chalii angu kuna kupata na kukosa yote matokeo hayo chalii za chuga hatuko na uoga kama hizi za dar
 
Write your reply...acha usoro dingilai ungetupia verse mbona unakuwa mshambaa Kama njeree mchane live huyo mamiloo unaogopa nini chalii angu kuna kupata na kukosa yote matokeo hayo chalii za chuga hatuko na uoga kama hizi za dar
Aikwereki budaah
 
Nimesoma mstari wa kwanza tu nimetupa huko thread nzima. Sitakagi ujinga ujinga maishani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…