Dem ananishangaa tabia yangu.

Dem ananishangaa tabia yangu.

Oy oy it'z another beautiful day,,by the way kidhungu ni kisanga acha nikaushe nirudi kwenye Lugha ya taifa,,Mko vyema wanajamvi?!....Bac aikatai,,,Kuna mamiloo tunapiga nae book apa chuo,asa uyu mamdii amekua akikimbiza kinyama class kwa kila medani iwe ya kimataifa hadi ya tarafa,Obvious hana mpinzani kwa uzuri,Chuchu kwanza zimesimama utafikiri zimefufuliwa na yule mchungaji wa Sauzi afrika,Tade(zigo)lina kama kilo 30 na ush*nzi ivi,Toto lips dendalee apo fiade,Guu la Champagne na masifa mengine kaa hayo,,Machalii wote class walishawahi kumsalandia uyu mamdii ili wayajenge Mapendo Catholic lakini wanaangukia kiuno,So leo nilikua nime chill nameremeta ki tag ubavu akaja akaanza kunichukua maelezo na maswali kaa niko kwenye interview ya XXL"Mikazo kwanini Wavulana wote wamenitongoza kasolo wewe tu?Unanichukia eti?"kabla sijamjibu nikameza kwanza fundo la maji nikarekebisha na saa kidogo,Nikamjibu"Kila anaekutongoza hamaanishi anakupenda"Nikakohoa kidogo kisha nika-mute sekunde kadhaa nikaendelea tena uku nimemkazia sura kama nafunga bao la first"Mbona mimi ma'manzi wote humu ndichi wamenitongoza kasolo wewe tu?nikuulize sasa namimi..Unanichukia?"Kidume mwenye ndevu ingawa bado chache ila zinatosha kuombea maji Nikanyanyuka nikabeba kibegi changu nikapita ivi nikimwacha yuko Dilemma..Kiukweli namwelewaga kisoro but naogopaga kumtonya so navunga kama sina mpango nae uku nagugumia chinichini kaa gebwe,,,Wasalaam......



@ChaliiYaKijengeJuu
Ataanzankukuelewa hii lugha ikikuungizia pesa.
 
Arusha wakiendelea hivi, miaka ijayo watakuwa na lugha yao binafsi au unasemaje bablai ya R?
 
Hizo hela unazolipiwa chuo. Zitafutie shughuli yenye umuhimu zaidi.
 
nimekunyaka bablai..nisogezee manamba ya huyo mamiloo nimalizage makazi
 
Oy oy it'z another beautiful day,,by the way kidhungu ni kisanga acha nikaushe nirudi kwenye Lugha ya taifa,,Mko vyema wanajamvi?!....Bac aikatai,,,Kuna mamiloo tunapiga nae book apa chuo,asa uyu mamdii amekua akikimbiza kinyama class kwa kila medani iwe ya kimataifa hadi ya tarafa,Obvious hana mpinzani kwa uzuri,Chuchu kwanza zimesimama utafikiri zimefufuliwa na yule mchungaji wa Sauzi afrika,Tade(zigo)lina kama kilo 30 na ush*nzi ivi,Toto lips dendalee apo fiade,Guu la Champagne na masifa mengine kaa hayo,,Machalii wote class walishawahi kumsalandia uyu mamdii ili wayajenge Mapendo Catholic lakini wanaangukia kiuno,So leo nilikua nime chill nameremeta ki tag ubavu akaja akaanza kunichukua maelezo na maswali kaa niko kwenye interview ya XXL"Mikazo kwanini Wavulana wote wamenitongoza kasolo wewe tu?Unanichukia eti?"kabla sijamjibu nikameza kwanza fundo la maji nikarekebisha na saa kidogo,Nikamjibu"Kila anaekutongoza hamaanishi anakupenda"Nikakohoa kidogo kisha nika-mute sekunde kadhaa nikaendelea tena uku nimemkazia sura kama nafunga bao la first"Mbona mimi ma'manzi wote humu ndichi wamenitongoza kasolo wewe tu?nikuulize sasa namimi..Unanichukia?"Kidume mwenye ndevu ingawa bado chache ila zinatosha kuombea maji Nikanyanyuka nikabeba kibegi changu nikapita ivi nikimwacha yuko Dilemma..Kiukweli namwelewaga kisoro but naogopaga kumtonya so navunga kama sina mpango nae uku nagugumia chinichini kaa gebwe,,,Wasalaam......



@ChaliiYaKijengeJuu
Hapo n yechu yechu,yedede yentee
 
Arusha wakiendelea hivi, miaka ijayo watakuwa na lugha yao binafsi au unasemaje bablai ya R?
Lugha tunayo tayari,Rais tunae Spark Dawg Dawg wise baba la baba,Hii ni nchi nyingine dingii inaitwa United State of Arusha(USA),,hatuna ela yetu tu,ndo tupo kwenye huo mchakato tupate ela etu tujitenge.
 
Back
Top Bottom