Demi amenichunia. Nifanyeje?

PM kakufungia wewe. Japo ww humpati, ila akiamua kukutumia msg pm, anakupata. Mkuu huna chako, nakushauri create account mpya, then mtongoze tena.

Demi ukiona ID mpya inaanza kukupetipeti, kataa 😅😅😅
🤣🤣🤣 sawa kaka
 
Hapo ndo pagumu.
Namba yake nikikupa ndo nampeperusha mazimaa
Siku hizi ndiyo maana hata ndoa hazidumu. Unaanzaje kumbembeleza mwanamke? Umlishe, akiumwa umuhudumie, umpe pesa zako n.k Unambembeleza mkoloni kbsa. Mwanamke akilinga achana naye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…