Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe na wewe unakataa ndoa jamani nilikuwa nataka nitume maombihahahaha hayo unasema wewe
Ha haaa umetisha sanaMnunulie Bhangi
too badKumbe na wewe unakataa ndoa jamani nilikuwa nataka nitume maombi
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Siku hizi ndiyo maana hata ndoa hazidumu. Unaanzaje kumbembeleza mwanamke? Umlishe, akiumwa umuhudumie, umpe pesa zako n.k Unambembeleza mkoloni kbsa. Mwanamke akilinga achana nayeHapo ndo pagumu.
Namba yake nikikupa ndo nampeperusha mazimaa
Watoto wana niuliza sana "baba eti aunt mbona kapotea?" Minawajibu bado upo masomoni Canada..😊