Demi live on muosha rungu TV show!!

Pole. Maisha ndivyo yalivyo.
demi naenda kulala
very sorry if nimekuboa love,
Huwa sipo serious kwenye jukwaa la chit chat na MMU,
So when someone akinipanda namtolea uvivuu.
Good night.

Sent From Ikulu-Magogoni street
 
Alafu....
Kwanini humu watu leo wamekua wakali sana....[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Ebu ngoja niwe pembeni ya huu uzi nijionee vituko....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Kwanza nishaambiwa na mkuu nifunge domo langu....
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
demi naenda kulala
very sorry if nimekuboa love,
Huwa sipo serious kwenye jukwaa la chit chat na MMU,
So when someone akinipanda namtolea uvivuu.
Good night.

Sent From Ikulu-Magogoni street
Nenda ukanye uko unampiga biti nani sasa
puto la kimeru ww

Washa penzi kama moto demi$connor
 
Usawa unahitajika katika mambo ya kama elimu, mirathi , afya na mengine.
Linapokuja suala la ajira au madaraka isiangaliwe jinsia bali uwezo.
Katika family nini imani yako kuhusu kichwa cha familia je ni baba au mama
Unamsaport vipi mumeo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
demi kama unavyojua rate za kuzaA nje zinavyozid kuwa juu ikitokea mchepuko amekunasisha utazaa au utatoa mimba!..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…