Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Oooh Ubarikiwe sana mpendwa. Nipo huku napambana tu na dhambi zangu hahaHeaven Sent anaonekana ni mpole, mcha mungu na mwenye busara.
lara 1 anajiamini sana, mpambanaji na yuko real.
MBITIYAZA akili zake na zangu zimefanana kiasi
Kwa kweli wewe na MBITIYAZA utadhani ni ndugu, huwa kuna muda mnanichekesha sana na kuna muda daah, you know woram saying? Ila najifunza mengi sana through you ladies, Mungu azidi kuwatetea. So far hongera kwa interview na kwa majibu honest.