Ocean road
JF-Expert Member
- Jul 15, 2017
- 631
- 304
Toka nijiunge JF,
Hawa ndio wasichana walionivutia na kuteka hisia zangu wako poa sana hawana tabia za kiswahili hawajui kuringa japo wanaonekana ni watoto wakali, hakika hawa ningekuwa nao kwa hood lazima ningemiliki mmoja wao.
Nawapenda sana nyie watoto nanyie masela mnaotafuta wasichana mbona hamwapigi sound hawa watoto? Nyie watoto nawazimia kinoma.
Wa kishua
Hawa ndio wasichana walionivutia na kuteka hisia zangu wako poa sana hawana tabia za kiswahili hawajui kuringa japo wanaonekana ni watoto wakali, hakika hawa ningekuwa nao kwa hood lazima ningemiliki mmoja wao.
Nawapenda sana nyie watoto nanyie masela mnaotafuta wasichana mbona hamwapigi sound hawa watoto? Nyie watoto nawazimia kinoma.
Wa kishua