Wewe uko kundi gani?Nasoma kila reply kwa tafakuri kubwa sana[emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827] .. Na kila reply inawakilisha kundi mojawapo ya haya
. Wenye vifua na makoromeo
. Wasio na vifua na makoromeo
. Ma introverts
. Ma extroverts
Halafu na hadhira inayosoma na kukaa kimya
Inayosoma na kuchochea kuni na mafuta
Inayoshadadia na kufurahia haya na mengine yote
Inayoshauri, kuonya na kutahadharisha...
Halafu na wanaoogopa![emoji23]
Pacha wewe huonekanaga kwenye ubuyu tu!Yes alimkamia..
Inashangaza..Wanaume wengi wa humu hawajielewi, nilifuatilia mwanzo mwisho huo uzi. Yaani habari alizoleta huyu duwanzi hazikuwa na mahusiano kabisaa na kilichokuwa kinaongelewa. Ni kama alikuwa ana bifu lake na manengelo akawa anatafuta namna ya kumdhalilisha. Halafu its like Jf mods wanafurahia huu upuuzi wa kudhalilishwa wanawake humu mpaka huwa nawaza au wao ndio wadhalilishaji!!
Yaani from no where mtu anakurupuka sijui ni bifu au chuki tu za kimasikini anakuja anamwaga tu details za mtu humu halafu anachekewa. Tunayo safari ndefu na hawa watoto wetu wa kiume, sijui tunakosea wapi kuwalea wqlah[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Marahaba mdogo wangu Kipenzi...
Ajabu leo App Inanipa Notification...Ha ha ha!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23]Pacha wewe huonekanaga kwenye ubuyu tu!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]unaweza ukachoka..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
App ya jf ina mawenge, ikijisikia kufanya yake sasa!!
Maana alimtuhumu mane kuwa ni tapeli, akamuomba athibitishe huo utapeli wake. Hakuuthibitisha zaidi ya kumchafua tu na mambo yasiyohusiana na huo utapeli alokuwa akimtuhumu nao. Yaani mtu ana bifu na wewe anakutafutia tu angle akuchafue daaah!Inashangaza..
Tena ilikuwa chuki ya hovyo mno..
Imagine mtu ameleta hadi Issue zinazohusu familia yake.. Eti ulishindwa kulipa kodi, mara msichana wako wa kazi ulishindwa kumlipa mshahara,sijui Baba yako aliumwa....What the hell!!!!!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Pacha bora wewe una machungu ya maji na umeme tu![emoji23][emoji23]
Pacha tunapoza machungu ya kukosa umeme na maji...
Muulize mzee wa matunguli (mshana Jr) alimficha wapi?Wapendwa poleni kwa giza na kutokuoga kwa siku kadhaa huko mjini wakati bahari, maziwa na mito ipo teleeee.
Poleni wale wenye simu changamoto za battery, sisi wa simu original tunapeta tu.
Nauliza member mwenzetu Demiss amekuwa kimya imekuwaje? Amepotelea wapi? Wanaomfahamu please details tafadhari.
Wengine waliopotea humu ni;
1. massai dada
2. mama facebook
n.k
Halafu mtu anakuambia eti sababu alikuwa na Tambo sana humu.. Ndiyo maana akafanyiwa vile...Maana alimtuhumu mane kuwa ni tapeli, akamuomba athibitishe huo utapeli wake. Hakuuthibitisha zaidi ya kumchafua tu na mambo yasiyohusiana na huo utapeli alokuwa akimtuhumu nao. Yaani mtu ana bifu na wewe anakutafutia tu angle akuchafue daaah!
Ila watu wana muda jamani, yaani kwakuwa mtu anajisifia this and that basi unainvest muda na pesa zako kumfuatilia uthibitishe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Siwezi kujisemea nasemewa...!!Wewe uko kundi gani?
Duh duh jamani jamani 😢. I can't breath kwa kweli, yule binti nilimuamini mno. Hadi sasa sijaamini mimi 😢😢Chuma alichompiga nacho hiki hapa.
_____
comment yangu,sijataja mtu,ila umejishitukia kuwa hizo ndiyo tabia zako,sasa ngoja nikupe ushaidi!
Wewe binti ni mtu wa ajabu sana! Nikianza kukuanika upuuzi wako hapa tunaweza kukesha!
Mimi nakujua kupitia kwa rafiki yangu mmoja hivi yuko dsm! Mara ya kwanza kabisa mlikutana morogoro sehemu moja inaitwa 88,mara ya pili mlikutana kibaha,mara ya tatu dsm! Huyo jamaa ni polisi lakini ana kazi nyingine, ana gari nyeusi aina ya Kluger, Na alikua anakufatilia kuhusu upuuzi wako wakuitukana serikali,na walipoona your not a threat walikuacha tu! Tena mara ya kwanza walikuita kule nane nane,kwenye majengo ya ufichoni sana,bila kujua na wewe ukaenda kweli! Jamaa alikufirimba na mwisho wa siku,akakuuliza gari umeacha wapi,mara ohh sijui gari imeisha mafuta nimeacha sehemu furani!
Basi yule bwana alipokuona huna maana alikuacha,akampa rafiki yake number zako,wewe si ulikua unatumia line ya tigo ya 0713 inaishia na 96?? Yule jamaa alikupigia simu,mkaongea then ukaomba nauli utumiwe kwamba ukimaliza kufua,utaenda,ukala pesa za watu bila hata ya kwenda! Ukaomba pesa za birthday ya mtoto wako! Ukatumiwa! Leo hii unaleta shobo hapa!
Kila siku unajifanya una maisha ya maana,kumbe choka mbaya tu,unashindwa kulipa hadi pesa za house girl wako,nyumba unaishi hata haijaisha,ndoa yako migogoro kila siku,shule hukumaliza,ulipigwa mimba,huyo kaka alikuacha sababu ya vituko vyako!
Eti nina mashimo ya migodi kakola! Hivi huoni hata aibu kudanganya,watu walishaanza kufatilia nyendo zako toka zamani,huna cha mashimo wala nini,Baba yako alikupa pesa ili walau mtoto wake usipate shida mjini,ukaenda kununua hivyo vifusi vya mchanga huko mgodini,uwe unasaga mawe, biashara haikuenda vizuri,mkafunga na hamkupata pesa hata kidogo,ULIVYO WA HOVYO,ukaenda kudanga kwa jamaa mmoja siwezi mtaja jina,naye biashara ikabuma,ukarudi nyumbani huna hata mia!!
Jamaa yangu juzi kakuona pale stand msamvu,huna mbele wala nyuma! Halafu eti unajitia fyoko fyoko hapa! Huna lolote wapige kamba wasiokujua! Na sasa hivi una number ya Airtel na halotel! Mme wako alishakufumania mara kibao,alishawahi kukupiga nusura ufe! Hebu acha shobo tukutunzie heshima yako! Watu walishaenda hadi kwenu ifakara kwa baba yako Mzee Ben! Naomba niishie hapa!
NimemuonaHuyu yupo amerudi
Mimi wala sijaamini hata kidogo 😢, nahisi ni uongoPoa G..
Hayakuwa mambo ya kutagiana...kuona Mwanamke mwenzangu anadhalilishwa haifurahishi..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu rudi kilingeni tumjeuze mtu nyau[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilijua tu sitasalimika kwenye hii mada
Dear,nikufokee hapa au unakuja PM ?Inashangaza sana..
Na wanaoyaleta wengi ni jinsia ya ME ni mara chache sana KE kuleta mambo kama haya humu..
Kuna huyo mpuuzi mmoja huyo nasikia yeye akishamkula Mwanamke humu akafanikiwa kupata mwingine tena JF kazi aliyonayo ni kumpondea au kuwapondea wote aliokuwa nao kwenye mahusiano..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha mkuu siku hizi nimeokoka na kilinge nimegawaMkuu rudi kilingeni tumjeuze mtu nyau
Zindiko halipotei mkuuHahaha mkuu siku hizi nimeokoka na kilinge nimegawa
Na Arusha ilivyo ndogo sasa.........Haaaaa tunasubiri kuanikwa tyuuuh [emoji3]