Demiss amepotelea wapi?

Demiss amepotelea wapi?

Nasoma kila reply kwa tafakuri kubwa sana[emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827] .. Na kila reply inawakilisha kundi mojawapo ya haya
. Wenye vifua na makoromeo
. Wasio na vifua na makoromeo
. Ma introverts
. Ma extroverts
Halafu na hadhira inayosoma na kukaa kimya
Inayosoma na kuchochea kuni na mafuta
Inayoshadadia na kufurahia haya na mengine yote
Inayoshauri, kuonya na kutahadharisha...

Halafu na wanaoogopa![emoji23]
Wewe uko kundi gani?
 
Wanaume wengi wa humu hawajielewi, nilifuatilia mwanzo mwisho huo uzi. Yaani habari alizoleta huyu duwanzi hazikuwa na mahusiano kabisaa na kilichokuwa kinaongelewa. Ni kama alikuwa ana bifu lake na manengelo akawa anatafuta namna ya kumdhalilisha. Halafu its like Jf mods wanafurahia huu upuuzi wa kudhalilishwa wanawake humu mpaka huwa nawaza au wao ndio wadhalilishaji!!

Yaani from no where mtu anakurupuka sijui ni bifu au chuki tu za kimasikini anakuja anamwaga tu details za mtu humu halafu anachekewa. Tunayo safari ndefu na hawa watoto wetu wa kiume, sijui tunakosea wapi kuwalea wqlah[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Inashangaza..
Tena ilikuwa chuki ya hovyo mno..

Imagine mtu ameleta hadi Issue zinazohusu familia yake.. Eti ulishindwa kulipa kodi, mara msichana wako wa kazi ulishindwa kumlipa mshahara,sijui Baba yako aliumwa....What the hell!!!!!!!!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inashangaza..
Tena ilikuwa chuki ya hovyo mno..

Imagine mtu ameleta hadi Issue zinazohusu familia yake.. Eti ulishindwa kulipa kodi, mara msichana wako wa kazi ulishindwa kumlipa mshahara,sijui Baba yako aliumwa....What the hell!!!!!!!!!


Sent using Jamii Forums mobile app
Maana alimtuhumu mane kuwa ni tapeli, akamuomba athibitishe huo utapeli wake. Hakuuthibitisha zaidi ya kumchafua tu na mambo yasiyohusiana na huo utapeli alokuwa akimtuhumu nao. Yaani mtu ana bifu na wewe anakutafutia tu angle akuchafue daaah!

Ila watu wana muda jamani, yaani kwakuwa mtu anajisifia this and that basi unainvest muda na pesa zako kumfuatilia uthibitishe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wapendwa poleni kwa giza na kutokuoga kwa siku kadhaa huko mjini wakati bahari, maziwa na mito ipo teleeee.

Poleni wale wenye simu changamoto za battery, sisi wa simu original tunapeta tu.

Nauliza member mwenzetu Demiss amekuwa kimya imekuwaje? Amepotelea wapi? Wanaomfahamu please details tafadhari.

Wengine waliopotea humu ni;
1. massai dada
2. mama facebook
n.k
Muulize mzee wa matunguli (mshana Jr) alimficha wapi?
 
Maana alimtuhumu mane kuwa ni tapeli, akamuomba athibitishe huo utapeli wake. Hakuuthibitisha zaidi ya kumchafua tu na mambo yasiyohusiana na huo utapeli alokuwa akimtuhumu nao. Yaani mtu ana bifu na wewe anakutafutia tu angle akuchafue daaah!

Ila watu wana muda jamani, yaani kwakuwa mtu anajisifia this and that basi unainvest muda na pesa zako kumfuatilia uthibitishe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu mtu anakuambia eti sababu alikuwa na Tambo sana humu.. Ndiyo maana akafanyiwa vile...

Ninajiuliza kama alikuwa na tambo na vitu vya kweli au siyo vya kweli wengine yanatuhusu nini? Maana ni ME wangapi humu wana majivuno hadi unaogopa na hakuna wanachofanywa...

Sasa Mane kujitapa na mashimo ya migodi watu wanaumia.. jambo ambalo ukiwauliza hawana uhakika wa majibu yao kama anayo au hana...Inasikitisha sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chuma alichompiga nacho hiki hapa.
_____
comment yangu,sijataja mtu,ila umejishitukia kuwa hizo ndiyo tabia zako,sasa ngoja nikupe ushaidi!

Wewe binti ni mtu wa ajabu sana! Nikianza kukuanika upuuzi wako hapa tunaweza kukesha!

Mimi nakujua kupitia kwa rafiki yangu mmoja hivi yuko dsm! Mara ya kwanza kabisa mlikutana morogoro sehemu moja inaitwa 88,mara ya pili mlikutana kibaha,mara ya tatu dsm! Huyo jamaa ni polisi lakini ana kazi nyingine, ana gari nyeusi aina ya Kluger, Na alikua anakufatilia kuhusu upuuzi wako wakuitukana serikali,na walipoona your not a threat walikuacha tu! Tena mara ya kwanza walikuita kule nane nane,kwenye majengo ya ufichoni sana,bila kujua na wewe ukaenda kweli! Jamaa alikufirimba na mwisho wa siku,akakuuliza gari umeacha wapi,mara ohh sijui gari imeisha mafuta nimeacha sehemu furani!

Basi yule bwana alipokuona huna maana alikuacha,akampa rafiki yake number zako,wewe si ulikua unatumia line ya tigo ya 0713 inaishia na 96?? Yule jamaa alikupigia simu,mkaongea then ukaomba nauli utumiwe kwamba ukimaliza kufua,utaenda,ukala pesa za watu bila hata ya kwenda! Ukaomba pesa za birthday ya mtoto wako! Ukatumiwa! Leo hii unaleta shobo hapa!

Kila siku unajifanya una maisha ya maana,kumbe choka mbaya tu,unashindwa kulipa hadi pesa za house girl wako,nyumba unaishi hata haijaisha,ndoa yako migogoro kila siku,shule hukumaliza,ulipigwa mimba,huyo kaka alikuacha sababu ya vituko vyako!

Eti nina mashimo ya migodi kakola! Hivi huoni hata aibu kudanganya,watu walishaanza kufatilia nyendo zako toka zamani,huna cha mashimo wala nini,Baba yako alikupa pesa ili walau mtoto wake usipate shida mjini,ukaenda kununua hivyo vifusi vya mchanga huko mgodini,uwe unasaga mawe, biashara haikuenda vizuri,mkafunga na hamkupata pesa hata kidogo,ULIVYO WA HOVYO,ukaenda kudanga kwa jamaa mmoja siwezi mtaja jina,naye biashara ikabuma,ukarudi nyumbani huna hata mia!!

Jamaa yangu juzi kakuona pale stand msamvu,huna mbele wala nyuma! Halafu eti unajitia fyoko fyoko hapa! Huna lolote wapige kamba wasiokujua! Na sasa hivi una number ya Airtel na halotel! Mme wako alishakufumania mara kibao,alishawahi kukupiga nusura ufe! Hebu acha shobo tukutunzie heshima yako! Watu walishaenda hadi kwenu ifakara kwa baba yako Mzee Ben! Naomba niishie hapa!
Duh duh jamani jamani 😢. I can't breath kwa kweli, yule binti nilimuamini mno. Hadi sasa sijaamini mimi 😢😢
 
Inashangaza sana..
Na wanaoyaleta wengi ni jinsia ya ME ni mara chache sana KE kuleta mambo kama haya humu..

Kuna huyo mpuuzi mmoja huyo nasikia yeye akishamkula Mwanamke humu akafanikiwa kupata mwingine tena JF kazi aliyonayo ni kumpondea au kuwapondea wote aliokuwa nao kwenye mahusiano..

Sent using Jamii Forums mobile app
Dear,nikufokee hapa au unakuja PM ?
 
Back
Top Bottom