Mimi mjukuu hizo sio zangu.. Tulimaliza safari yetu salama salimini na kwa furaha kubwa na tulirudi hapa kuaga... Hayo mengine yote hayahusiani namimi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naskia alikua mchepoz wako wa kudumu lol, sasa why ulimuumbua mwenzio? Wee hujui kuachwa? Ulikwama wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eeeh kumbe wee huusiki ila unatajwa sana mbna?Mimi mjukuu hizo sio zangu.. Tulimaliza safari yetu salama salimini na kwa furaha kubwa na tulirudi hapa kuaga... Hayo mengine yote hayahusiani namimi
I have fallen in love with you, sweetest lady. If u dont mind, May I dm you ?Pole Mtani...
Wewe ni mtu wa kuigwa sana humu..kama ndiyo mizimu inafanya kazi namna hii basi fanya namna wengi wafanyiwe hii kitu..
Maana Kuna watu umetustahi/ umewastahi na madhaifu yao/yetu..Pongezi kwako Mtani wangu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu mna maneno dooh ππTena la CCM na alivyokuwa aipendi CCM.
Mambo ambayo hayahusiki kabisa na uzi yaliwekwa.Inashangaza..
Tena ilikuwa chuki ya hovyo mno..
Imagine mtu ameleta hadi Issue zinazohusu familia yake.. Eti ulishindwa kulipa kodi, mara msichana wako wa kazi ulishindwa kumlipa mshahara,sijui Baba yako aliumwa....What the hell!!!!!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
πππ Mmh kuna mtu atatolewa damu hapa, dalili zinajionesha.....mi acha nikaendelee kuangalia mmakonde na mmnyema wakitunishiana misuli.
ngoja nikufungulie uziπ
Atoto ndio Espy, ndio Jael na ndio Habun.Atoto je ?
Jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tena la CCM na alivyokuwa aipendi CCM.
Noma kweli yaniSi wa kiwango kile alichokua anajipaisha humu
Hata nyie mnajipaisha tu mbona, na zile mazaga za supermarket ππNoma kweli yani
Dah hatariSaint Murano alikuja na hoja kwamba kuna mwamba nadhani ni Fernando Sucre (ambaye baadae members wengine walikuja kutoa ushuhuda juu ya kesi zake za ubabaishaji ambazo walikuwa wanaficha kisa bullying). Murano alileta uzi wa kutafuta kazi, Sucre akamwambia atafute vyeti kadhaa. Murano akatumia savings zake zote kwa shida akapata vielelezo vyote akamtumia Sucre. Jamaa alipopata akaacha kupokea simu wala kujibu PM. Murano akafungua uzi baada ya siku nyingi kutaka watu wasio na uwezo kusaidia wasiwe wanakwamisha watu na kuwaingiza gharama (baadae wajuzi wa mambo ndio walisema zile details na vyeti vitatumika kwenye utapeli na kufoji vielelezo, hivyo sio kwamba Murano kapotezewa muda ni kwamba details zake zitatumika na kuna muda anaweza kamatwa kwa tukio).
Manengelo akaja na kashfa kwa Murano akimuita mzembe, akadai hata yeye huwa anatapeliwa hela nyingi zaidi ila hasemi, akadai huwa anasaidia watu humu JF ila hawana shukrani. Watu wengi walikaa kimya hasa wadada ila mimi na raia wachache tukakomaa nae.
Kila uzi wa matapeli huwa yuko upande wa tapeli, matapeli na ID zao mpya au za zamani wanajuana naye na waliwahi fanya deals nae. Kuna wawili niliowajua PM walikuwa affiliated naye waliwahi taka kunitapeli. Kama mnakumbuka yule jamaa aliyejitangazia kifo kwa ID nyingine alafu Manengelo akaja kutoa huzuni nyingi na kudai anamfahamu wakati mtu mwenyewe hajafa.
Manengelo/Wangari kila kitu anafanya at the same time. Kuuza dagaa, kuchimba madini, mbao, kilimo, samaki, kusafirisha kwenda wapi sijui. Niliichukulia kama mbinu ya kupata watu alafu channel yake ya anaowatetea iingie kazini. Kwa asiyeeelewa atasema wanawake walimuonea wivu ila sio kweli, hakuna uwezekano wa wewe kumiliki mashimo ya madini, wakati huo uko visiwani, wakati huo ushawahi uza nguo, wakati huo una mashamba ya mpunga, wakati huo 24/7 uko JF unachamba watu, na mengine kibao.
Wangari alichofanya ni kuwashika masikio raia humu. Alizoeana kwa lazima na watu maarufu na wasio na rekodi mbaya ila vichwa ngumu kama Kiranga huwezi kuja kizembe hivi lazima wakilushtukie. Kila mtu shosti, bestie, ndugu yangu mpaka watu wakawa wanaogopa kumkosoa. Kwa mazoea yake ya kuogopwa akawa anamzodoa kila anayetapeliwa ila hiyo siku hatukukubali.
Kuna member wanasaidia na hawasemi bali aliyesaidiwa ndio anakuja kusema ila kwa Wangari yeye kila uzi wa msaada lazima aseme anasaidia watu humu, anaosaidia hawajulikani wakijitaja ndio zile ID zenye mushkeli. Ila connection alikuwa nazo kweli.
Hata hivyo sikupendezwa kabisa na yule jamaa aliyeleta mambo yao ya kimasihara. Nilimuomba afute ile comment ila alikomaa nayo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hutajwi kwa ubaya, ila naskia ulikufa ulioza kwake?Sidhani kama natajwa kwa ubaya labda unitag nijitetee
Hapo safi yaan, [emoji7][emoji7][emoji7]Wala sina. Hizo mambo aisee,
Mdogo angu kazi yake haikuhusu ujue..umeanza lini kuwa mfukunyuku!?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hutajwi kwa ubaya, ila naskia ulikufa ulioza kwake?
Af alkua anafanya kazi gan? Wengne wanasema n mwalimu, wengine mtendaji wa kata, which z which?
[emoji3][emoji3][emoji3] Je ni vibaya kuonesha upendo mjukuu? Upendo ni mojawapo ya hitaji kuu la mwanadamu mengine ni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hutajwi kwa ubaya, ila naskia ulikufa ulioza kwake?
Af alkua anafanya kazi gan? Wengne wanasema n mwalimu, wengine mtendaji wa kata, which z which?
Hahahah mambo ya pizza kapiyoka π tikeno muskino tacos yote yanapatikana geto kwa muhuni!Hata nyie mnajipaisha tu mbona, na zile mazaga za supermarket ππ