Demiss amepotelea wapi?

Ila Demiss aliniuma kuondoka. Nilikuwa napenda stories zake wala hakuwa na shida na mtu, harakati zake uko na watu hazinihusu mradi hakuwa anaumiza watu. Alipoondoka nilipunguza kusoma MMU

Mwandiko wake unafanana na wa dada (... la kipekee)
 
Mkuu nani alijizushia kifo???
 
Kama sijasahau yule kijana hakutapeliwa fedha zake, ila alizitumia katika kutafuta vibali kwa bahati mbaya mdau aliyempa maelekezo atampa mchongo akapotea katika mawasiliano
 
[emoji3][emoji3][emoji3] Je ni vibaya kuonesha upendo mjukuu? Upendo ni mojawapo ya hitaji kuu la mwanadamu mengine ni
Kujaliwa utu wake
Kusikilizwa
Kusifiwa
Hao waliododosa kazi yake waliwahi kusema zao!? [emoji23]
Piga kelele kwa babu yake, weuweeeeeeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Basi bhana kuhus kazi yake, tuzimie kwwenye gia au vipi?
 
Nimekumbuka huo uzi, kuna. Jamaa alikuwa na I'd mbili nimesahau kidogo majina. Moja ya id alikuwa anasema yeye ana tatizo la Kusikia na kuwa emetengwa na familia nk.
Nikikumbuka ntaleta jina lake hapa
Ule uzi ulifungwa, na mie nlkua upande wa waangari masai, ila kna, mtu alinitibua nkamjibu hovyo, wakanizuia nisitoe comments modes hao,[emoji23][emoji23][emoji23]

Uzi ulizusha mengi na vingi ule daaah.
 
Kama anasaidia na anasema basi ni hiari yake.
Kwani tatizo liko wapi??

Na kama anachangia kila nyuzi na anajua kila kitu mbona haizuiliwi..
Hata wewe ukiamua unaweza kuchangia kila kitu.


Unaandika kwa hisia na kwa ramli mno..
Yaani hadi yeye kufahamiana na watu nyie mnaumia!
Chaaa!!!!

Hebu weka wazi na vielelezo vya koneksheni na huyo wangari na matapeli.
Na muweke vithibitisho kuonyesha kwamba aliwatapeli,,,msiongee kwa mihemko tu.
 
I agree mkuu JF mods wanafurahia mitifuano ya kijinga, wana uwezo kabisa JF iwe safe kwa wanaotumia huu mtandao, yaani imekua kama desturi vile hatujui baada ya mtifuano huu na ID hii ya kike kupotea, mdada gani atakua next victim? VERY SAD....
 
Nimekumbuka huo uzi, kuna. Jamaa alikuwa na I'd mbili nimesahau kidogo majina. Moja ya id alikuwa anasema yeye ana tatizo la Kusikia na kuwa emetengwa na familia nk.
Nikikumbuka ntaleta jina lake hapa
Yule aliyefariki kwa kujinyonga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…