Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Hebu mfunde kidogo loh[emoji3]Mdogo angu kazi yake haikuhusu ujue..umeanza lini kuwa mfukunyuku!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu mfunde kidogo loh[emoji3]Mdogo angu kazi yake haikuhusu ujue..umeanza lini kuwa mfukunyuku!?
Kwani huyu Wangari AKA Manengelo walimfanyaje tena huyu wananzengo?Huyu dada alizabangwa ile kinoma humu jf
Mkuu nani alijizushia kifo???Saint Murano alikuja na hoja kwamba kuna mwamba nadhani ni Fernando Sucre (ambaye baadae members wengine walikuja kutoa ushuhuda juu ya kesi zake za ubabaishaji ambazo walikuwa wanaficha kisa bullying). Murano alileta uzi wa kutafuta kazi, Sucre akamwambia atafute vyeti kadhaa. Murano akatumia savings zake zote kwa shida akapata vielelezo vyote akamtumia Sucre. Jamaa alipopata akaacha kupokea simu wala kujibu PM. Murano akafungua uzi baada ya siku nyingi kutaka watu wasio na uwezo kusaidia wasiwe wanakwamisha watu na kuwaingiza gharama (baadae wajuzi wa mambo ndio walisema zile details na vyeti vitatumika kwenye utapeli na kufoji vielelezo, hivyo sio kwamba Murano kapotezewa muda ni kwamba details zake zitatumika na kuna muda anaweza kamatwa kwa tukio).
Manengelo akaja na kashfa kwa Murano akimuita mzembe, akadai hata yeye huwa anatapeliwa hela nyingi zaidi ila hasemi, akadai huwa anasaidia watu humu JF ila hawana shukrani. Watu wengi walikaa kimya hasa wadada ila mimi na raia wachache tukakomaa nae.
Kila uzi wa matapeli huwa yuko upande wa tapeli, matapeli na ID zao mpya au za zamani wanajuana naye na waliwahi fanya deals nae. Kuna wawili niliowajua PM walikuwa affiliated naye waliwahi taka kunitapeli. Kama mnakumbuka yule jamaa aliyejitangazia kifo kwa ID nyingine alafu Manengelo akaja kutoa huzuni nyingi na kudai anamfahamu wakati mtu mwenyewe hajafa.
Manengelo/Wangari kila kitu anafanya at the same time. Kuuza dagaa, kuchimba madini, mbao, kilimo, samaki, kusafirisha kwenda wapi sijui. Niliichukulia kama mbinu ya kupata watu alafu channel yake ya anaowatetea iingie kazini. Kwa asiyeeelewa atasema wanawake walimuonea wivu ila sio kweli, hakuna uwezekano wa wewe kumiliki mashimo ya madini, wakati huo uko visiwani, wakati huo ushawahi uza nguo, wakati huo una mashamba ya mpunga, wakati huo 24/7 uko JF unachamba watu, na mengine kibao.
Wangari alichofanya ni kuwashika masikio raia humu. Alizoeana kwa lazima na watu maarufu na wasio na rekodi mbaya ila vichwa ngumu kama Kiranga huwezi kuja kizembe hivi lazima wakilushtukie. Kila mtu shosti, bestie, ndugu yangu mpaka watu wakawa wanaogopa kumkosoa. Kwa mazoea yake ya kuogopwa akawa anamzodoa kila anayetapeliwa ila hiyo siku hatukukubali.
Kuna member wanasaidia na hawasemi bali aliyesaidiwa ndio anakuja kusema ila kwa Wangari yeye kila uzi wa msaada lazima aseme anasaidia watu humu, anaosaidia hawajulikani wakijitaja ndio zile ID zenye mushkeli. Ila connection alikuwa nazo kweli.
Hata hivyo sikupendezwa kabisa na yule jamaa aliyeleta mambo yao ya kimasihara. Nilimuomba afute ile comment ila alikomaa nayo
hujanielewa mkuu....Mbona alikataa akasema hajahusika[emoji848]
ushauri wa bure ,usiwe kama hao wengineNamimi ngoja kuna baadhi ya watu details zao ninazo siku nikiamka vibaya tu wanalo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]natania mwaya na sina sababu ya kumfanyia mtu hivyoushauri wa bure ,usiwe kama hao wengine
Sijaona makeke yake kama awaliMamtefu p....? Mbona yupo
Kama sijasahau yule kijana hakutapeliwa fedha zake, ila alizitumia katika kutafuta vibali kwa bahati mbaya mdau aliyempa maelekezo atampa mchongo akapotea katika mawasilianoTatizo lilianzia pale Wangari alipokuwa upande wa anayesemekana ni tapeli na kwamba watu wajifunze kushukuru kabla ya kuhukumu.
Na kuwa hata yeye amesaidia watu wengi tu lakini hawana shukrani.
All in all haikuwa fair kwa alivyoshambuliwa na yule mdau..alimuaibisha sana hakustahili yale yote.
Ndio navyomfahamu hivyo.Mfanyabiashara wa madini
Nimekumbuka huo uzi, kuna. Jamaa alikuwa na I'd mbili nimesahau kidogo majina. Moja ya id alikuwa anasema yeye ana tatizo la Kusikia na kuwa emetengwa na familia nk.Mkuu nani alijizushia kifo???
[emoji23][emoji23][emoji23] bas dada nimeacha mie, nsamehe tyuuh.Mdogo angu kazi yake haikuhusu ujue..umeanza lini kuwa mfukunyuku!?
Piga kelele kwa babu yake, weuweeeeeeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].[emoji3][emoji3][emoji3] Je ni vibaya kuonesha upendo mjukuu? Upendo ni mojawapo ya hitaji kuu la mwanadamu mengine ni
Kujaliwa utu wake
Kusikilizwa
Kusifiwa
Hao waliododosa kazi yake waliwahi kusema zao!? [emoji23]
Ule uzi ulifungwa, na mie nlkua upande wa waangari masai, ila kna, mtu alinitibua nkamjibu hovyo, wakanizuia nisitoe comments modes hao,[emoji23][emoji23][emoji23]Nimekumbuka huo uzi, kuna. Jamaa alikuwa na I'd mbili nimesahau kidogo majina. Moja ya id alikuwa anasema yeye ana tatizo la Kusikia na kuwa emetengwa na familia nk.
Nikikumbuka ntaleta jina lake hapa
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]ngoja nikufungulie uzi[emoji23]
Kama anasaidia na anasema basi ni hiari yake.Saint Murano alikuja na hoja kwamba kuna mwamba nadhani ni Fernando Sucre (ambaye baadae members wengine walikuja kutoa ushuhuda juu ya kesi zake za ubabaishaji ambazo walikuwa wanaficha kisa bullying). Murano alileta uzi wa kutafuta kazi, Sucre akamwambia atafute vyeti kadhaa. Murano akatumia savings zake zote kwa shida akapata vielelezo vyote akamtumia Sucre. Jamaa alipopata akaacha kupokea simu wala kujibu PM. Murano akafungua uzi baada ya siku nyingi kutaka watu wasio na uwezo kusaidia wasiwe wanakwamisha watu na kuwaingiza gharama (baadae wajuzi wa mambo ndio walisema zile details na vyeti vitatumika kwenye utapeli na kufoji vielelezo, hivyo sio kwamba Murano kapotezewa muda ni kwamba details zake zitatumika na kuna muda anaweza kamatwa kwa tukio).
Manengelo akaja na kashfa kwa Murano akimuita mzembe, akadai hata yeye huwa anatapeliwa hela nyingi zaidi ila hasemi, akadai huwa anasaidia watu humu JF ila hawana shukrani. Watu wengi walikaa kimya hasa wadada ila mimi na raia wachache tukakomaa nae.
Kila uzi wa matapeli huwa yuko upande wa tapeli, matapeli na ID zao mpya au za zamani wanajuana naye na waliwahi fanya deals nae. Kuna wawili niliowajua PM walikuwa affiliated naye waliwahi taka kunitapeli. Kama mnakumbuka yule jamaa aliyejitangazia kifo kwa ID nyingine alafu Manengelo akaja kutoa huzuni nyingi na kudai anamfahamu wakati mtu mwenyewe hajafa.
Manengelo/Wangari kila kitu anafanya at the same time. Kuuza dagaa, kuchimba madini, mbao, kilimo, samaki, kusafirisha kwenda wapi sijui. Niliichukulia kama mbinu ya kupata watu alafu channel yake ya anaowatetea iingie kazini. Kwa asiyeeelewa atasema wanawake walimuonea wivu ila sio kweli, hakuna uwezekano wa wewe kumiliki mashimo ya madini, wakati huo uko visiwani, wakati huo ushawahi uza nguo, wakati huo una mashamba ya mpunga, wakati huo 24/7 uko JF unachamba watu, na mengine kibao.
Wangari alichofanya ni kuwashika masikio raia humu. Alizoeana kwa lazima na watu maarufu na wasio na rekodi mbaya ila vichwa ngumu kama Kiranga huwezi kuja kizembe hivi lazima wakilushtukie. Kila mtu shosti, bestie, ndugu yangu mpaka watu wakawa wanaogopa kumkosoa. Kwa mazoea yake ya kuogopwa akawa anamzodoa kila anayetapeliwa ila hiyo siku hatukukubali.
Kuna member wanasaidia na hawasemi bali aliyesaidiwa ndio anakuja kusema ila kwa Wangari yeye kila uzi wa msaada lazima aseme anasaidia watu humu, anaosaidia hawajulikani wakijitaja ndio zile ID zenye mushkeli. Ila connection alikuwa nazo kweli.
Hata hivyo sikupendezwa kabisa na yule jamaa aliyeleta mambo yao ya kimasihara. Nilimuomba afute ile comment ila alikomaa nayo
I agree mkuu JF mods wanafurahia mitifuano ya kijinga, wana uwezo kabisa JF iwe safe kwa wanaotumia huu mtandao, yaani imekua kama desturi vile hatujui baada ya mtifuano huu na ID hii ya kike kupotea, mdada gani atakua next victim? VERY SAD....Wanaume wengi wa humu hawajielewi, nilifuatilia mwanzo mwisho huo uzi. Yaani habari alizoleta huyu duwanzi hazikuwa na mahusiano kabisaa na kilichokuwa kinaongelewa. Ni kama alikuwa ana bifu lake na manengelo akawa anatafuta namna ya kumdhalilisha. Halafu its like Jf mods wanafurahia huu upuuzi wa kudhalilishwa wanawake humu mpaka huwa nawaza au wao ndio wadhalilishaji!!
Yaani from no where mtu anakurupuka sijui ni bifu au chuki tu za kimasikini anakuja anamwaga tu details za mtu humu halafu anachekewa. Tunayo safari ndefu na hawa watoto wetu wa kiume, sijui tunakosea wapi kuwalea walah[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Yule aliyefariki kwa kujinyonga?Nimekumbuka huo uzi, kuna. Jamaa alikuwa na I'd mbili nimesahau kidogo majina. Moja ya id alikuwa anasema yeye ana tatizo la Kusikia na kuwa emetengwa na familia nk.
Nikikumbuka ntaleta jina lake hapa