Demiss amepotelea wapi?

🤣🤣🤣🤣 kumbe ndio kipindi kile alipotea mazima, nakumbuka ile siku alihangaika sana yaan uzi ulikua na ID's kama 4 zote mpya zake zinamtetea. Ila hapo kwa ID ya bibi kizee ndio alibugi nikajua huyu utapeli hawezi maana kichwani hamna kitu.

Uzi wa Ndizi mshale ulikimbizaaa af sijui ukapotelea wapi au mods waliufuta, nakumbuka ulikua na vichekesho vingi sana
 
Na wewe unataka ufanye alilo fanya mwenzio? Mkinyimwa mbunye si mtulie tu wanaume hatuna hizi itikadi eti au niweke hapa na ukisha weka utalipwa nini?
 
Hapo ndio kina Behaviourist na Bujibuji watakuchekesha mpaka ulie. Wanakuwa na memes zao za matukio, mtu akitoa boko wanatupia
 
Naomba nikufahamu😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…