Demiss amepotelea wapi?

Demiss amepotelea wapi?

Alipoteana baada ya jopo likiongozwa na kubwa la maadui Ndizi mshale kumkamata. Kwanza kabisa mimi nilikuwa nishamkataa, tangu pale aliposema yuko club sijui kabambia mtoto wa kizungu kamuelewa ila akatokea Kiranga anayeijua Ulaya mwenyewe sasa, akamuuliza umeenda club gani wakati Switzerland ina lockdown kama wiki sasa? Hapo shutma za watu kuwa Parabora anaonewa wivu wengine walio nje hawatoi connection.

Siku chache baadae Ndizi mshale akaja na uzi wa kumuumbua. Parabora akaja na ID yake ya 'mmama mtu mzima' aliyedai Parabora kamsaidia mwanae akasome nje. Akatokea member nadhani ni Makaveli akaonyesha ufanano wa ID zile na kitu kizito kikamdondokea Parabora kichwani.

JF wanapenda uwe muongo na utaje vitu kirahisi watakushabikia
🤣🤣🤣🤣 kumbe ndio kipindi kile alipotea mazima, nakumbuka ile siku alihangaika sana yaan uzi ulikua na ID's kama 4 zote mpya zake zinamtetea. Ila hapo kwa ID ya bibi kizee ndio alibugi nikajua huyu utapeli hawezi maana kichwani hamna kitu.

Uzi wa Ndizi mshale ulikimbizaaa af sijui ukapotelea wapi au mods waliufuta, nakumbuka ulikua na vichekesho vingi sana
 
Seems like wewe dada una mambo mengi sana yakiwaki. Kuna nyuzi nyingi nimeonaga huko zamani zinahusu uduwanzi wako na other things you do behind the curtains. (Unajijua).

You do a lot of bs, you've got an attitude na kujiona kuwa you are very clever and you can outwit others. Mbaya all of these times unafanya your bs you end up proving yourself to be an absolute ah.

Remember the last time you fucked up? Juzi juzi tu hapa last month. Remember? Au niweke hapa?
Na wewe unataka ufanye alilo fanya mwenzio? Mkinyimwa mbunye si mtulie tu wanaume hatuna hizi itikadi eti au niweke hapa na ukisha weka utalipwa nini?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kumbe ndio kipindi kile alipotea mazima, nakumbuka ile siku alihangaika sana yaan uzi ulikua na ID's kama 4 zote mpya zake zinamtetea. Ila hapo kwa ID ya bibi kizee ndio alibugi nikajua huyu utapeli hawezi maana kichwani hamna kitu.

Uzi wa Ndizi mshale ulikimbizaaa af sijui ukapotelea wapi au mods waliufuta, nakumbuka ulikua na vichekesho vingi sana
Hapo ndio kina Behaviourist na Bujibuji watakuchekesha mpaka ulie. Wanakuwa na memes zao za matukio, mtu akitoa boko wanatupia
 
Aiseee, tangu nimeijua JF na watu wake nimejifunza kukaa kimya. Nimegundua humu unafiki uko mwingi sana, leo mtu anasifiwa kuwa anajua vitu vingi kesho anapondwa kuwa anapenda kujifanya anajua kila kitu.

Nashukuru Mungu nimepunguza mazoea, na kufahamiana na watu humu. Yaani mtu hata niwe namkubali kiasi gani hata pm simfuati, na hata yeye akinifuata tufahamiane namkatalia tutakutana huku huku jukwaani tu.
Naomba nikufahamu😂😂
 
Back
Top Bottom