Pole kwa ajali kipenzi... Naamini hujateguka kiuno.Nilipata ajali simu ikapotea nakumbuka nilikaa mwaka sikuingia JF kurudi ikawa mtiahani pasward sikumbuki ndipo nikaja na Nuzulati sina ninaye mjua nje ya Jf
Eti kwa lazima[emoji51][emoji3]
Ahaaaahaaahaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nilivyoona tu Habun anasema sema furushi this furushi that nikajua tu huyu ni Espy..
Cha ajabu kitu gani hakuna mtu mwenye papa kuishi kwa kuogopa walimwengu ni ufalaWee Ungewezaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Papa ishaanikwa watu wanakujua nje ndani. .
Utanijazia nzi PM ujue...Na alivyo mhandsome sasa [emoji3059]
Papa imeonekana hadharani mkuu depression yake ni hatariiCha ajabu kitu gani hakuna mtu mwenye papa kuishi kwa kuogopa walimwengu ni ufala
Ila yule dada alionywa mda asipende kujikwenza ile uzi nilikuwa nasoma tu commentsπππMaisha ni magumu sana Kipenzi, Mtu anavyohangaika kutafuta ridhiki mpaka anazulumiwa kuja kulalamika sio kosa.
Binafsi sikupenda jinsi alivyokua anamzodoa yule kaka na nilicomment.
Ila JF kwenye ule uzi kuna watu walifurahi mdada kutolewa siri zake halafu huku wanajifanya kusikitika daah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Tunakunywa chai tunashushia ubuyuKwahiyo bado mnaendelea na ubuyu? Mmekunywa chai? Hamfui?
[emoji23][emoji23][emoji23]
Na majamaa ya humu?wiiKujichanganya nini wii
Hapana... we tafuta sababu nyingine ya kunipiga kibuti, ila usinipe dhambi isiyonihusu.[emoji23][emoji23][emoji23] ila wee babuuh n kiwembe sana ujue?
Acha uoga mkuu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]. Humu wote tunaigiziana maisha. Avatar, tunavyoandika na uhalisia ni tofauti.Hahaha eti kuwala wanawake wa jf inahitaji moyo[emoji16], kwann sasa mkuu wana sura mbaya au?
Mimi wanawake wa jf huwa nawaogopa nahisi ni wanawake flan hivi wenye maisha mazuri sana na ni wazuri balaa maana I'd zao username &avatar zinapendeza sana kwakweli inanifanya nijione siyo hadhi yao sijawahi kufikiria wala kuwa na ndoto ya kumfata hata mmoja PM naona kuwafata na kuwaimbisha ni kama ndoto ya msukuma toroli kuwaza kumuoa mtoto wa Joe Biden
lla kiukweli mkishapendana mkamalizana huko haipendezi kuja kuanikana japo wengi wao nafikiri huwa wanajitakia wenyewe maana wadada wa jf baadhi yao Wana dharau na maneno machafu balaa anaweza akakuamulia hadi ukashindwa kuelewa yote haya yanatoka wapi? Ndo mwsho wa siku huwa wanaangukia kwa wanao wajua vizuri wanaishia kudhalilishwa.
Ila yule dada alionywa mda asipende kujikwenza ile uzi nilikuwa nasoma tu comments[emoji3][emoji3][emoji3]
We una fuso la babezii Jf sikuwezi na uzee huu cha kufia nini πππPole kwa ajali kipenzi... Naamini hujateguka kiuno.
Kwahiyo JF niko peke yangu? Nihakikishie hata kwa kunidanganya roho yangu ipate kupona
Kabla haujarudi nitumie basi na mie niwe wa mwisho, namba ni moja tu muamala ni mmoja....hata usipotuma na tozo mi sina tatizoKibaya zaidi mama mzazi unamwambia sina hela afu huku unatuma miamala kwa mchuchu mmoja kwenye namba tatu tofauti. Dhambi inaongezeka zaidi pale unapotuma na ya kutolea kabisa....
Mimi acha nirudi kundini kumbe JF imekuwa kama badoo
Damu ya kunguni utakua nayo weye!!!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!!!!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nishaotewa mbna, bado kulipuliwa tyuuh,
Na hiyo siku nahisi JF nzima itafurahi kwa vifijo na nderemo, vile nina damu ya kunguni mbna kitaumana, uwiiiiih
Kwa mchoko alionao hata mbinguni anaweza asifike akaishia tu hapo kwenye mawinguBabu asprin atafika mbinguni kachoka sana
Ukala au ukawapotezea baada ya kuona ni wamama?mkuu unayodhani sio kabisa naweza nikakupa na majina ya niliokutana nao humu wanajishaua na wengine wamama walinitongoza kabisa..
Yaani ni cheap sanaa
ππππhuna akiliMi Nataka utaje wale matpeli basi mengine ya kutongoznaa ni kawaida
Si unajua uzi ulifutwa
Nami nakuja kukutongoza fungua Pm
Hahaha eti kuwala wanawake wa jf inahitaji moyo[emoji16], kwann sasa mkuu wana sura mbaya au?
Mimi wanawake wa jf huwa nawaogopa nahisi ni wanawake flan hivi wenye maisha mazuri sana na ni wazuri balaa maana I'd zao username &avatar zinapendeza sana kwakweli inanifanya nijione siyo hadhi yao sijawahi kufikiria wala kuwa na ndoto ya kumfata hata mmoja PM naona kuwafata na kuwaimbisha ni kama ndoto ya msukuma toroli kuwaza kumuoa mtoto wa Joe Biden
lla kiukweli mkishapendana mkamalizana huko haipendezi kuja kuanikana japo wengi wao nafikiri huwa wanajitakia wenyewe maana wadada wa jf baadhi yao Wana dharau na maneno machafu balaa anaweza akakuamulia hadi ukashindwa kuelewa yote haya yanatoka wapi? Ndo mwsho wa siku huwa wanaangukia kwa wanao wajua vizuri wanaishia kudhalilishwa.