mgunga pori
JF-Expert Member
- Jul 23, 2016
- 4,092
- 4,896
Aseee safi sana nimeishi sana hapo miaka ya 2000's na hapo njia ya ngo'mbeMaji ya chai moja hiyo.
Likely kama njia ya ngo'mbe
I bet I know you
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aseee safi sana nimeishi sana hapo miaka ya 2000's na hapo njia ya ngo'mbeMaji ya chai moja hiyo.
KumbeHata ilo pia hayupo
Ooh ilikuwa vita vita wengine tungekuwa n mioyo midogo tungeacha ingia humu Na kubadili id 🤣🤣kweli kabisa siku hakuna kashi kashi kabisaa[emoji23]
Kuna siku niliona nawewe umefunguliwa uzi...Damu ya kunguni utakua nayo weye!!!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!!!!!!
Ahaaaahaaahaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We mpana aseee
Yapo vizuri tuu. Watu wanahusiana balaa huku Sema inategemeana unahusiana na nani? Na mara nyingi wanaoacha uchi wenzao ni wale waloumizwa baada ya mahusiano kufa. Mkihusiana mkaachana kwa amani hakuwezi kutokea mazingira ya kudhalilishana. Sometimes tunalipia maumivu tuliyowasababishia wengine kwa kudhalilishwa.Nashangaa mbona uzi wangu hausongi kule kumbe Mmekuja kusutana na kuvuana ngup huku[emoji852][emoji852][emoji852]...!! Hakuna mahusiano ya Jf yanayoishaga salama yani lazima MWANAMKE ATADHALILISHWA TU.
😂😂😂😂Mimi nimechoka na kucheka[emoji23][emoji23][emoji23]kule walifurahi huku wanasikitika[emoji23][emoji23]
Mimi nilifurahia niwe mkweli[emoji23][emoji23]
Madai yake wajukuuUlivyo Na wanawake wengi sasa babu
Good for you.Aseee safi sana nimeishi sana hapo miaka ya 2000's na hapo njia ya ngo'mbe
Likely kama njia ya ngo'mbe
I bet I know you
Hehe namtania tu babu
Ooh ilikuwa vita vita wengine tungekuwa n mioyo midogo tungeacha ingia humu Na kubadili id [emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ukikumbuka ulivokua unatembelea hizo id mwili wote unakufa ganzi.
unaenda kwa mbiti unatupia maneno, unarudi kwa manengelo unatupia vitu, unamfungua na wangari unatupia muneno mutamu mutamu [emoji23][emoji23][emoji23]
KweliVitu vinapita na maisha yanaendelea, kuna muda ili usiwape maadui nafasi unakomaa.
Mane asingetoka angekomaa humu humu watu wanasahau na wanaendelea na mengine.
nisamehe sirudii tena😁Eee halaf ole wako uje utangaze utanitambua adhabu yako nakuoa kabisa
[emoji23][emoji23]Wanaenda na Upepo au wanaogopa sijui[emoji3]
Wa kuanikwa!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yule Hawezi kufanya huo upuuzi na labda hawa wanga wengine! Asante lakini [emoji120][emoji23]!Kuna siku niliona nawewe umefunguliwa uzi...
Nikatumia madaraka yangu ya u-MOD nikaudelete fasta
Nishukuru basi
Ndio au sio lile la wa..... Ma...?Kumbe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila simara huwaga Upo straight