Demiss amepotelea wapi?

Demiss amepotelea wapi?

lakini akabisha, sio kila kitu lazima ulete ubishi kuna muda unanyamaza kuepusha shari

Hii JF ukae kwa akili sana la sivyo ndiyo unajikuta unapotezwa.
Shida ya yule dada alikuwa anajieleza sana Maisha yake na harakati zake za maisha ni sawa sio mbaya ila sio kwenye wingi wa watu kila mtu ana mtazamo tofauti
 
Sio kwa JF aisee..watu wakikaa kidogo wanakumbushia..unakua bullied. Huwezi kuwa na amani especially kama una roho legevu[emoji23]

Kama hapa hii issue ina miezi ila watu wamefukua..mwakani tena unakuta kinaulizwa kingine linaingizwa na la mane..unavumilia mwisho unabadili tu

Usiwape nafasi au Info ya kukufanya uwe bullied, ukiona mtu anaelekea kukukera na huwezi kustahamili unamblock maisha mengine yaendelee.

Humu JF unatakiwa kukaa kwa akili sana.
 
Ni hivi nyie ndio mnajiumbia kichwani kuwa wanawake humu warembo kama malaika Hiyo dhana mfute Uzuri wa mtu Upo machoni kwa mhusika mi naweza kukuona wewe nikavutiwa sana,lakin mwinginee akakuona akaona we mbayaa na hakutaki
Eeh unajua hata hapa jf wanaume wengi huwa wanapenda avatar , Yani sisi wanaume bana Yani sisi tulishaumbwa kupenda kile tunacho kiona, avatar ikiwa ni ya mrembo sana ujue Kuna mwanaume hapo moyoni anajisemesha "inaonekana huyu dada ni mrembo sana" had akuone ana kwa ana ndo anaanza kuwa disappointed knoma[emoji16]
 
Hakuna ktu kigumu kama kwenda kumuelezea hisia mtu ambae unahisi siyo hadhi yako, inawezekana pia ndo maana wanawake warembo sana wanachelewa kuolewa maana na yeye akijijua ni mrembo anaku underrate mbaya mbovu kwakua hisia zake ni kuwa na mtu bora zaid yako mwsho wa siku akimkosa ndo anaolewa uzeeni Sasa ili mambo yasiwe meng naamua kusumbuana na kina mwajuma huku mtaani[emoji16]
Hahahahaaaa. Mambo yasiwe mengi.

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Hahaha twin ungekosa hapa nimgejimurder[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23]

Nakumbuka kwenye huo uzi ulikinukisha[emoji16][emoji16][emoji848]

Nasikitika ujaniita mapema[emoji23][emoji23]

Twin aliboa
 
Humu kuna mdada mmoja tu nampenda kishenzi daima siwezi mzingua chochote hata akiniwakia..

Ila hawa wengine ni wa kutupa kwenye dustbin, kuna yule id yake ilikuwa inaanza na k mwisho ni i
Alinicheki pm akaniomba namba ya whatsap cha ajabu nikatongozwa akanipa picha anadai anakaa arusha na mumewe yuko serikalini akapiga video call sikupokea, picha yake ninayo naona niifute maana ni ujinga imepita muda.

Nilipomuona mdada mwenyewe nikamfikiria mumewe nikabaki kumuonea huruma jamaa tu..

Sometime Huruma inaniingia.
Cha ajabu saivi huyu Dada kabadili I'd anashinda mmu kule anadai hatoi papuchi kizembe kabisa anajiheshimu

Nacheka sanaa..

[emoji16][emoji16][emoji16]
Yaan ukatongozwa![emoji848][emoji848]
 
Hutaki unafki mwenyewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Kiukweli sikupenda alivyokua anamtetea na kumkandamiza yule kijana na sikupenda pia alivyowekwa wazi

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app

Sitaki kabisaa!!![emoji23][emoji23][emoji23]

sasa labda ilikua ndiyo njia pekee ya dada kunyamaza[emoji23][emoji23]
 
Usiwape nafasi au Info ya kukufanya uwe bullied, ukiona mtu anaelekea kukukera na huwezi kustahamili unamblock maisha mengine yaendelee.

Humu JF unatakiwa kukaa kwa akili sana.
Tena ukiblock maisha yanakua rahisi tu. Maana shida nyingine ya JF mtu unaweza kuwa hujamkosea popote akakuchukia tu na akasambaza chuki kwa wajinga wenzie. Unashangaa umecomment kitu mahali mtu anakuja kuweka mazingira mgombane. Mi nikishaona hivyo tu nakutia block maisha yasonge.

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Usiwape nafasi au Info ya kukufanya uwe bullied, ukiona mtu anaelekea kukukera na huwezi kustahamili unamblock maisha mengine yaendelee.

Humu JF unatakiwa kukaa kwa akili sana.
I agree ila ndio uwe na moyo wa chuma haswa
 
Back
Top Bottom