Demiss amepotelea wapi?

Demiss amepotelea wapi?

Maneno aliyokua anaonge kwenye uzi ule yalimfanya hadi jamaa mleta mada aanze kuomba msamaha kwa wadau. Alianza kujiona yee ndio mwenye makosa kuleta uzi wa kutapeliwa, wadau wakamuweka 18. Mangungu alikoment bila kutaja mtu bidada ikamtachi akampalamia mzee mangungu akamwaga faili zima. Watu walifurahia ila hapa wanajifanya kumtetea.
Unafki mbaya

Yule gal ana matatizo nadhani maana hafi picha zake za uchi watu waliziona 2018 na 2019 wakamlipua JLW ila bado hakomi.
Halafu kuna watu humu walihifadhi picha zake za uchi ila hapa wanajifanya malaika, nawachora tu[emoji1][emoji1]
Natamani kukuuliza we ni nani huko b4 maana naona ni member since sept 2021 😂😂😂😂 na unajua mambo ya 2018.

Au ndio nyie mnatung'ata na kupuliza.
 
Depression ya nini sasa? Mbona pia boroo linakuwa hadharani?

Zaidi ya yote papa ndo lilikuzaa wewe, ni mlango kabisa so what?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kaza ubongo ila Papa likivuja jua mwanamke umedhalilika sana hasa likiwa linaliwaa...!! Dyudyu labda kiwe kibamiaa.. kama kubwa wadada wataongezeka kukusumbua
 
Upo kati kati kama Mzigua[emoji23][emoji23][emoji23]
hamkupenda Kijana alivyozongwa na hamkupenda dada alivyotolewa siri.....Ila mnatakiwa mchague kimoja msiwe katikati[emoji23][emoji23]
Mimi siko katikati jamani. Sikupenda tu yote yaliyotendeka. Sawa mwenzetu alikosea ila ile adhabu aliyopewa ilikua kubwa sana. Ugomvi wa mawe mwenzie akashusha guruneti.
Ila naamini alijifunza kitu Wangari.

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Kidume mzima nna ndevu zangu nikatupiwa voko [emoji16]

Sema sio wote wana mambo hayo
Kuna mdada mmoja ana roho nzuri mnoo huwezi amini..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Hukuogopa? Mimi ningekua wewe ningemblock hapo hapo. Unatongozaje mtu humjui? Je kama ndo mtu wako nae yuko huku?

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Yeah namie kama mzigua, sikupenda alivomuattack yule kaka kwa kumsema hata akipewa kazi akicheleweshwa mshahara atatangaza....na pia kuanikwa vile haikuwa poa.

Ila pia nlikuaga nabaki hoi zile mishe. Kwamba chini ya hili jua sijui alibakiza biashara gani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kunangwa sasa!!! Watz wavivu, hatujitumi, mtz mimi nlikua nasoma comments tu....

Kila Mishe kafanya anaijua na inamuingizia pesa!! Mimi pia nilikua napita tu comments zake maana nilikua naona drama tu!!

Kumbe hakuna cha migodi wala nini daah[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa wengine tumeweka avatar za kina amber rose jamani utavutiwa nae [emoji23][emoji23][emoji23]
Mnachekesha kweli
Weka hata ya KimKardashian tunamjua na tunajua siyo wewe lakin jinsi itakavyokua inapendeza tunaanza kuhusianisha na wewe kihisia kuwa utakua mrembo hivyohivyo , Nilishawahi kumtongoza mdada fB kisa napenda jina lake na jinsi anavyo andika comments zake yaani hajaweka hata profile pictures ipo ile kivuli ila nikamsifia kuwa yeye ni mrembo
 
Mimi siko katikati jamani. Sikupenda tu yote yaliyotendeka. Sawa mwenzetu alikosea ila ile adhabu aliyopewa ilikua kubwa sana. Ugomvi wa mawe mwenzie akashusha guruneti.
Ila naamini alijifunza kitu Wangari.

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app

Sasa Mangungu angefanyaje maana alianza kwa kuonya wote wanaomkandamiza dogo ila Wangari akaibuka na kureply si angemute tu kama wengine.

Ugomvi wowote hakuna kuchaguliana silaha
 
Back
Top Bottom