Demiss amepotelea wapi?

Demiss amepotelea wapi?

Eeh unajua hata hapa jf wanaume wengi huwa wanapenda avatar , Yani sisi wanaume bana Yani sisi tulishaumbwa kupenda kile tunacho kiona, avatar ikiwa ni ya mrembo sana ujue Kuna mwanaume hapo moyoni anajisemesha "inaonekana huyu dada ni mrembo sana" had akuone ana kwa ana ndo anaanza kuwa disappointed knoma[emoji16]
Sasa wengine tumeweka avatar za kina amber rose jamani utavutiwa nae 😂😂😂
Mnachekesha kweli
 
Maisha ni magumu sana Kipenzi, Mtu anavyohangaika kutafuta ridhiki mpaka anazulumiwa kuja kulalamika sio kosa.

Binafsi sikupenda jinsi alivyokua anamzodoa yule kaka na nilicomment.

Ila JF kwenye ule uzi kuna watu walifurahi mdada kutolewa siri zake halafu huku wanajifanya kusikitika daah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Eheeeee umeona unafiki unaoendelea hapa asee?[emoji848][emoji848]

Ndo maana twin nakukubali nyueupe nyeupe!

Binadamu ni kiumbe cha ajabu sana, yaan hapa wamebadilika wote[emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787]
 
Maisha ni magumu sana Kipenzi, Mtu anavyohangaika kutafuta ridhiki mpaka anazulumiwa kuja kulalamika sio kosa.

Binafsi sikupenda jinsi alivyokua anamzodoa yule kaka na nilicomment.

Ila JF kwenye ule uzi kuna watu walifurahi mdada kutolewa siri zake halafu huku wanajifanya kusikitika daah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Maneno aliyokua anaonge kwenye uzi ule yalimfanya hadi jamaa mleta mada aanze kuomba msamaha kwa wadau. Alianza kujiona yee ndio mwenye makosa kuleta uzi wa kutapeliwa, wadau wakamuweka 18. Mangungu alikoment bila kutaja mtu bidada ikamtachi akampalamia mzee mangungu akamwaga faili zima. Watu walifurahia ila hapa wanajifanya kumtetea.
Unafki mbaya

Yule gal ana matatizo nadhani maana hafi picha zake za uchi watu waliziona 2018 na 2019 wakamlipua JLW ila bado hakomi.
Halafu kuna watu humu walihifadhi picha zake za uchi ila hapa wanajifanya malaika, nawachora tu[emoji1][emoji1]
 
Usiwape nafasi au Info ya kukufanya uwe bullied, ukiona mtu anaelekea kukukera na huwezi kustahamili unamblock maisha mengine yaendelee.

Humu JF unatakiwa kukaa kwa akili sana.

Panaitwa nyumba ya vioo, usianzishe ugomvi.

Kosa kubwa ni kufikiri watu wa JF wanatoka sayari tofauti, ni hawa hawa tuko nao mtaani. Watu wa kaliba zote.
Waungwana, wenye chuki, wasiojali, wakarimu, wababe, wapole, vichaa n.k uvumilivu na staha jambo la muhimu sana.

Lakini sioni haja ya kuumiza kichwa au kugombana na mtu JF ambae haikuongezei wala kukupunguzia chochote.

Binafsi hua nimejiandaa kwa lolote kwa vile najua binadam aliyezaliwa na mwanamke anaweza kufanya chochote, wakati wowote bila kujali chochote.
 
Upo kati kati kama Mzigua[emoji23][emoji23][emoji23]
hamkupenda Kijana alivyozongwa na hamkupenda dada alivyotolewa siri.....Ila mnatakiwa mchague kimoja msiwe katikati[emoji23][emoji23]
Yeah namie kama mzigua, sikupenda alivomuattack yule kaka kwa kumsema hata akipewa kazi akicheleweshwa mshahara atatangaza....na pia kuanikwa vile haikuwa poa.

Ila pia nlikuaga nabaki hoi zile mishe. Kwamba chini ya hili jua sijui alibakiza biashara gani 😂😂😂😂 kunangwa sasa!!! Watz wavivu, hatujitumi, mtz mimi nlikua nasoma comments tu....
 
Tena ukiblock maisha yanakua rahisi tu. Maana shida nyingine ya JF mtu unaweza kuwa hujamkosea popote akakuchukia tu na akasambaza chuki kwa wajinga wenzie. Unashangaa umecomment kitu mahali mtu anakuja kuweka mazingira mgombane. Mi nikishaona hivyo tu nakutia block maisha yasonge.

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app

Kabisaa siwezi kuruhusu mtu uniharibie mood yangu aisee
 
Panaitwa nyumba ya vioo, usianzishe ugomvi.

Kosa kubwa ni kufikiri watu wa JF wanatoka sayari tofauti, ni hawa hawa tuko nao mtaani. Watu wa kaliba zote.
Waungwana, wenye chuki, wasiojali, wakarimu, wababe, wapole, vichaa n.k uvumilivu na staha jambo la muhimu sana.

Lakini sioni haja ya kuumiza kichwa au kugombana na mru JF ambae haikuongezei wala kukupunguzia chochote.

Binafsi hua nimejiandaa kwa lolote kwa vile najua binadam aliyezaliwa na mwanamke anaweza kufanya chochote, wakati wowote bila kujali chochote.
I like u,I like this comment
 
Back
Top Bottom