Demiss amepotelea wapi?

Demiss amepotelea wapi?

Humu kuna mdada mmoja tu nampenda kishenzi daima siwezi mzingua chochote hata akiniwakia..

Ila hawa wengine ni wa kutupa kwenye dustbin, kuna yule id yake ilikuwa inaanza na k mwisho ni i
Alinicheki pm akaniomba namba ya whatsap cha ajabu nikatongozwa akanipa picha anadai anakaa arusha na mumewe yuko serikalini akapiga video call sikupokea, picha yake ninayo naona niifute maana ni ujinga imepita muda.

Nilipomuona mdada mwenyewe nikamfikiria mumewe nikabaki kumuonea huruma jamaa tu..

Sometime Huruma inaniingia.
Cha ajabu saivi huyu Dada kabadili I'd anashinda mmu kule anadai hatoi papuchi kizembe kabisa anajiheshimu

Nacheka sanaa..

[emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sijui mtu unajiamini nini watu wanakujua halafu unaandika uongo.

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Acha uoga mkuu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]. Humu wote tunaigiziana maisha. Avatar, tunavyoandika na uhalisia ni tofauti.

Ukimuelewa mtu zama pm chaaap maisha yake mazuri utayajua huko mbele mkishaonana.

Sema tu kaka zetu mnalalamikaga eti sisi tuna sura za ancestors wetu ndo maana hawatufuati hawataki kupoteza muda

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Hakuna ktu kigumu kama kwenda kumuelezea hisia mtu ambae unahisi siyo hadhi yako, inawezekana pia ndo maana wanawake warembo sana wanachelewa kuolewa maana na yeye akijijua ni mrembo anaku underrate mbaya mbovu kwakua hisia zake ni kuwa na mtu bora zaid yako mwsho wa siku akimkosa ndo anaolewa uzeeni Sasa ili mambo yasiwe meng naamua kusumbuana na kina mwajuma huku mtaani[emoji16]
 
Wa kuanikwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yule Hawezi kufanya huo upuuzi labda hawa wanga wengine!! Asante lakini [emoji120][emoji23]!
Nilimkanya akiendelea na tabia hiyo, nambadilisha jinsia afu kikojoleo nakiweka usoni

Akanitaka radhi kwa kunipa K Vant kubwa mbili yakaisha
 
Vitu vinapita na maisha yanaendelea, kuna muda ili usiwape maadui nafasi unakomaa.

Mane asingetoka angekomaa humu humu watu wanasahau na wanaendelea na mengine.
Sio kwa JF aisee..watu wakikaa kidogo wanakumbushia..unakua bullied. Huwezi kuwa na amani especially kama una roho legevu[emoji23]

Kama hapa hii issue ina miezi ila watu wamefukua..mwakani tena unakuta kinaulizwa kingine linaingizwa na la mane..unavumilia mwisho unabadili tu
 
Nilimkanya akiendelea na tabia hiyo, nambadilisha jinsia afu kikojoleo nakiweka usoni

Akanitaka radhi kwa kunipa K Vant kubwa mbili yakaisha
K vant kubwa!!!!!![emoji23][emoji23][emoji23] Asante sana najua unanijali sana ni basi tu !!!
 
Mimi nimechoka na kucheka[emoji23][emoji23][emoji23]kule walifurahi huku wanasikitika[emoji23][emoji23]

Mimi nilifurahia niwe mkweli[emoji23][emoji23]
Hutaki unafki mwenyewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Kiukweli sikupenda alivyokua anamtetea na kumkandamiza yule kijana na sikupenda pia alivyowekwa wazi

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom