Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sijui mtu unajiamini nini watu wanakujua halafu unaandika uongo.Humu kuna mdada mmoja tu nampenda kishenzi daima siwezi mzingua chochote hata akiniwakia..
Ila hawa wengine ni wa kutupa kwenye dustbin, kuna yule id yake ilikuwa inaanza na k mwisho ni i
Alinicheki pm akaniomba namba ya whatsap cha ajabu nikatongozwa akanipa picha anadai anakaa arusha na mumewe yuko serikalini akapiga video call sikupokea, picha yake ninayo naona niifute maana ni ujinga imepita muda.
Nilipomuona mdada mwenyewe nikamfikiria mumewe nikabaki kumuonea huruma jamaa tu..
Sometime Huruma inaniingia.
Cha ajabu saivi huyu Dada kabadili I'd anashinda mmu kule anadai hatoi papuchi kizembe kabisa anajiheshimu
Nacheka sanaa..
[emoji16][emoji16][emoji16]
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app