Hahaha eti kuwala wanawake wa jf inahitaji moyo[emoji16], kwann sasa mkuu wana sura mbaya au?
Mimi wanawake wa jf huwa nawaogopa nahisi ni wanawake flan hivi wenye maisha mazuri sana na ni wazuri balaa maana I'd zao username &avatar zinapendeza sana kwakweli inanifanya nijione siyo hadhi yao sijawahi kufikiria wala kuwa na ndoto ya kumfata hata mmoja PM naona kuwafata na kuwaimbisha ni kama ndoto ya msukuma toroli kuwaza kumuoa mtoto wa Joe Biden
lla kiukweli mkishapendana mkamalizana huko haipendezi kuja kuanikana japo wengi wao nafikiri huwa wanajitakia wenyewe maana wadada wa jf baadhi yao Wana dharau na maneno machafu balaa anaweza akakuamulia hadi ukashindwa kuelewa yote haya yanatoka wapi? Ndo mwsho wa siku huwa wanaangukia kwa wanao wajua vizuri wanaishia kudhalilishwa.