Demiss amepotelea wapi?

Demiss amepotelea wapi?

Kabisa bila kupepesa macho.

Bwana JF atakuwa ni chovya chovya mmoja next level. Bahati mbaya tu hajajulikana...

Alijipost na kijukuu chetu cha JF [emoji4]

Shost ukinisoma naomba tu uvunge [emoji1787][emoji1787] usije waza kunivaa kabsa.
Haahaaahaaa[emoji38][emoji38][emoji38]

Daah!
 
Yeah namie kama mzigua, sikupenda alivomuattack yule kaka kwa kumsema hata akipewa kazi akicheleweshwa mshahara atatangaza....na pia kuanikwa vile haikuwa poa.

Ila pia nlikuaga nabaki hoi zile mishe. Kwamba chini ya hili jua sijui alibakiza biashara gani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kunangwa sasa!!! Watz wavivu, hatujitumi, mtz mimi nlikua nasoma comments tu....
Duuh...! Kumbe humu namo yamo hayo ya kimbea?
 
Back
Top Bottom