Demiss amepotelea wapi?

Demiss amepotelea wapi?

Na ule uzi wengi Walimshambulia mleta mada.. Ila Yule member akaamua kumfanyia vile Wangari.. sasa kama siyo chuki Binafsi ni nini?

Maana angeweza kujibizana naye kwa namna nyingine ila kuanza kumtolea mambo yake ya nje pale.. haukuwa Uanaume ule..

Sent using Jamii Forums mobile app

Labda nikuulize wewe ni ipi hasa defination ya uanaume?maana toka huko juu nakuona unatiririka tu “haukuwa uanaume haukuwa uanaume”,unadhani uanaume ni kukaa kimya hata kama mambo yakionekana kuwa mrama?uanaume ni kuwa really!

Hapa jukwaani wapo watu hawacheki cheki na watu hovyo,kama umekiri mwenyewe kwamba aliyeshambuliwa alikuwa mmoja wa walioegemea upande wa tapeli then inaonekana alikanywa akaendelea kuwa kiburi mwisho wakamlipua.na upo uwezekano hata aliyemtapeli huyo kijana ni huyo huyo Wangari ila kwa id yake nyengine ilipoanzishwa mada kuhusu utapali wake akarudi kwa I'd yake original kumshambulia,humu mitandaoni tuheshimiane usimtetee mtu sometimes nyuma ya hizi IDs wapo watu wanalia machozi ya damu kwa tunayofanyiana humu.
 
Witty nae haelewekagi usikute hata anajisema yeye mwenyewe [emoji23]
Haahaaahaa

I wish niwafungulie code wallah but nimekula kiapo sitamtaja coz ntazidi kumuumiza hapa na mimi sipendi kuona mwanamke mwenzangu ananyanyasika!

Ila naapa nimecheka na nazidi kucheka kila nikisoma comments zake, hata na yeye anajua[emoji848]
 
Kabisa bila kupepesa macho.

Bwana JF atakuwa ni chovya chovya mmoja next level. Bahati mbaya tu hajajulikana...

Alijipost na kijukuu chetu cha JF 😊

Shost ukinisoma naomba tu uvunge 🤣🤣 usije waza kunivaa kabsa.
Kwa ile picha umri umeenda kidogo ila humu kuna balaa😀😀😀
 
Haahaaahaa

I wish niwafungulie code wallah but nimekula kiapo sitamtaja coz ntazidi kumuumiza hapa na mimi sipendi kuona mwanamke mwenzangu ananyanyasika!

Ila naapa nimecheka na nazidi kucheka kila nikisoma comments zake, hata na yeye anajua[emoji848]
Mi namjua lakini si unajua kama najua?😁
 
Baada ya kujipost nilihuzunika ujue? Sikutaka iwe story asee maana ni huzuni

Bwana jeiefu alikuwa na haki ya kufall kwa kina Meri na kunogewa.
Ina maana huyo truesay mvutoless alimloga bwana jf? Hahahaaha
 
Nkamu haukuwepo kwenye ule uzi kwani? sema Picha nilihifadhi ngoja nione kama sijafuta
Uzi gani tena jamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sielewi chochote.

Nashangaa Meri,bijeiefu yaani natahamaki.
Ukisikia kupitwa na gari stand ndio huku[emoji16],na selfika nipo kila siku.
 
Uzi gani tena jamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sielewi chochote.

Nashangaa Meri,bijeiefu yaani natahamaki.
Ukisikia kupitwa na gari stand ndio huku[emoji16],na selfika nipo kila siku.
Yule ulimpongeza kwa katoto.

Siku kadhaa nyuma alileta jam MMU 😂😂 Ila Uzi ulifutwa
 
Yule ulimpongeza kwa katoto.

Siku kadhaa nyuma alileta jam MMU [emoji23][emoji23] Ila Uzi ulifutwa
Eeeeh!

Lini tena?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilikuwa wapi mimi jamani????

Ulikuwa unahusu nini?
Ilikuwaje ukanipita jamani[emoji134]
 
Back
Top Bottom