Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Mrembo upo ?I agree mkuu JF mods wanafurahia mitifuano ya kijinga, wana uwezo kabisa JF iwe safe kwa wanaotumia huu mtandao, yaani imekua kama desturi vile hatujui baada ya mtifuano huu na ID hii ya kike kupotea, mdada gani atakua next victim? VERY SAD....
Kweli tuondoke isije kua leo mwisho wa dunia tukaenda na hizi dhambi tukachomwa moto tutaambia nini watu😂😂😂😂😂Tuondoke hebu 😂😂😂
Ulikuwa fellowship dia 🤣🤣🤣🤣🤣Eeeeh!
Lini tena?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilikuwa wapi mimi jamani????
Ulikuwa unahusu nini?
Ilikuwaje ukanipita jamani[emoji134]
Haahaaahaaa[emoji38][emoji38][emoji38]Kabisa bila kupepesa macho.
Bwana JF atakuwa ni chovya chovya mmoja next level. Bahati mbaya tu hajajulikana...
Alijipost na kijukuu chetu cha JF [emoji4]
Shost ukinisoma naomba tu uvunge [emoji1787][emoji1787] usije waza kunivaa kabsa.
🤣🤣🤣🤣🤣Ulikuwa fellowship dia 🤣🤣🤣🤣🤣
Duuh...! Kumbe na wewe unatamka tu hilo neno bila wasiwasi?Shangaaa...mbona si hatushangai maboroo yao[emoji849][emoji849]
Haahaahaa waambie wewe asee[emoji16][emoji16][emoji38]Niwaambie kwa niaba yako?[emoji849]
Depal miss u mdadaUlikuwa fellowship dia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Au Mimi nilikosea kumuita bi Jf ndio maana hakunijibuNilijibu mpendwa labla hukuiona moyoni nikasema hii vita kama ya paula na Fay mwenye mtoto na asiekuwa nae
Miss you too mkaka.Depal miss u mdada
Jambo jema kumisiwa nawe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Miss you too mkaka.
Duuh...! Kumbe humu namo yamo hayo ya kimbea?Yeah namie kama mzigua, sikupenda alivomuattack yule kaka kwa kumsema hata akipewa kazi akicheleweshwa mshahara atatangaza....na pia kuanikwa vile haikuwa poa.
Ila pia nlikuaga nabaki hoi zile mishe. Kwamba chini ya hili jua sijui alibakiza biashara gani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kunangwa sasa!!! Watz wavivu, hatujitumi, mtz mimi nlikua nasoma comments tu....
Hiyo comment imefutwa Bora asee[emoji848]Haikua na haja ya kuandika hayo yote hapa mkuu, msitiri japo kidogo pls[emoji120]
🤣🤣🤣 Amen mkakaJambo jema kumisiwa nawe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hiyo comment imefutwa Bora asee[emoji848]Haikua na haja ya kuandika hayo yote hapa mkuu, msitiri japo kidogo pls[emoji120]
Kwanini yasiwemo? Wakati sisi ndio sisi sisi wambea wa huku mitaaniDuuh...! Kumbe humu namo yamo hayo ya kimbea?
Poa sana![emoji1787][emoji1787][emoji1787] Amen mkaka
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sitoki hapa [emoji144][emoji144][emoji144]