Demiss amepotelea wapi?

Demiss ni mtu wa singida, alisoma ualinu aliishia ngazi ya Cheti. Wakat flan alikua idle anaishi dodoma na ndo wakat ambapo Jamii forum ilimkoma. Labda keshaajiriwa kawq mtumishi wa serikali kaachana na vurugu za humu
 
Why all those transitions? Huwa mnakuwa mmeharibu mahali ama?[emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Si unajisikia tu kubadili, na ukizingatia sasa hivi tunaweza kubadili wenyewe basi nikijisikua tu nabadili. Nishairudia Atoto na Espy mara mbili. Halafu kwani kuna tatizo gani kubadili?
 
Jamaa una akili sana wewe
 
Sahihisha hapo Mkuu.."Anguko lake lilifurahiwana wengi."

Hivi ki binadamu unaweza kufurahia mabaya yanapompata mwingine? Wakati huo nani amejua yako/yangu?
Nadhani inahitaji moyo wa kishujaa sana..

Sent using Jamii Forums mobile app
Yes mbona ndio maisha ya wanadamu kwani we mgeni, Bashite mbona watu wameshangilia
 
Jamaa yangu wewe sio mnafiki hata kidogo.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…