Demiss ni mtu wa singida, alisoma ualinu aliishia ngazi ya Cheti. Wakat flan alikua idle anaishi dodoma na ndo wakat ambapo Jamii forum ilimkoma. Labda keshaajiriwa kawq mtumishi wa serikali kaachana na vurugu za humuWapendwa poleni kwa giza na kutokuoga kwa siku kadhaa huko mjini wakati bahari, maziwa na mito ipo teleeee.
Poleni wale wenye simu changamoto za battery, sisi wa simu original tunapeta tu.
Nauliza member mwenzetu Demiss amekuwa kimya imekuwaje? Amepotelea wapi? Wanaomfahamu please details tafadhari.
Wengine waliopotea humu ni;
1. massai dada
2. mama facebook
n.k
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Why all those transitions? Huwa mnakuwa mmeharibu mahali ama?[emoji28]
Afadhali, not fair at all. Tusitumie uhuru wetu vibayaHiyo comment imefutwa Bora asee[emoji848]
It's not fair
Sawa ngoja nifute namina wewe futa sababu tunasoma hapo bado kupitia ulivyomquote
Aaaah jamani mimi wanijua vyema kichaa changu kimeishia wapi...
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Mwambie aje pls 😂Anakusoma hapa tulipo
Ndo hilo hilo [emoji23][emoji23]Ndio au sio lile la wa..... Ma...?
Ngoja apumzike kidoho vuta subra atakuja asapMwambie aje pls [emoji23]
sound gud...naona babu Asprin analia liaSijawah badili ID, sina mambo mengi mie
mkuuMkuu Acha hizo mambo. Kwani Wangari anatafutwa na Polisi? Mwacheni dada wa watu akae tafadhali.
kalumbuJamaa alifanya fair, huyo dada alimnanga sana huyo kijana wa passport mpaka akatukwaza wengi....baada ya hapo akanyamazishwa kwa lazima.
Hivi kweli umepitwaje na kule ni uwanja wako wa nyumbani jaman?Bora hata wewe unapitwa na uzi wa picha haupo.
Mimi kwenye uzi nipo kila siku ila sielewi chochote.
Jamaa una akili sana weweMkuu kwanza kabisa I took no pleasure in it, nilisoma na kuipuuza maana havinihusu.
Ya pm au nje ya Pm yabaki hukohuko haitakuja kutokea mimi kuanika mtu na nimepatana na wengi tu humu.
Kikubwa ni kwamba Kama una maisa yako ishi maisha yako huko uliko sio uje kujianika humu.
Stay low don't bunk to the guys to have spotlight and attention.
Kama angekua anafanya yake kimya kimya asingekutwa na yaliyo mkuta, kosa kubwa alilolifaya hua ana tabia ya Ku-Attack watu humu. Ndio maana anguko lake lilifurahiwa na wengi.
Again; Stay low, if you build in silence your enemy won't know where to attack
Hadi sasa ufahamu wangu unasoma bila bila🥲Hivi kweli umepitwaje na kule ni uwanja wako wa nyumbani jaman?
Naona Eli umekunywa motori,sasa umezikuta nyama.Humu panaweza kuwa pagumu sana kama tu utazingua halafu unajulikana nje ndani. Kuna wadada humu ni shida sana dah!
Yes mbona ndio maisha ya wanadamu kwani we mgeni, Bashite mbona watu wameshangiliaSahihisha hapo Mkuu.."Anguko lake lilifurahiwana wengi."
Hivi ki binadamu unaweza kufurahia mabaya yanapompata mwingine? Wakati huo nani amejua yako/yangu?
Nadhani inahitaji moyo wa kishujaa sana..
Sent using Jamii Forums mobile app
Andiko zuri sanaMtaka nyingi nasaba hupata mwingi msiba.Humu unaweza usijulikane ila kuna mtu atajikuta anakujua wewe kuliko unavyojijua inashangaza
Jamaa yangu wewe sio mnafiki hata kidogo.....Na wanawake wenzake hapa JF ndio walikua wanafurahia kishenzi alivyochanwa,maana alikuaga anawa outshine kwa kuleta story zake upambanaji wake,sijui independent woman mara ladyboss na blah blah kibao na mara kibao tu walikua wanampiga vijembe vya kutosha tu hapa hapa JF.
Leo naona wanazuga eti walisikitika kwa yaliyomkuta, wanawake bana.