Demiss amepotelea wapi?

Demiss amepotelea wapi?

Wapendwa poleni kwa giza na kutokuoga kwa siku kadhaa huko mjini wakati bahari, maziwa na mito ipo teleeee.

Poleni wale wenye simu changamoto za battery, sisi wa simu original tunapeta tu.

Nauliza member mwenzetu Demiss amekuwa kimya imekuwaje? Amepotelea wapi? Wanaomfahamu please details tafadhari.

Wengine waliopotea humu ni;
1. massai dada
2. mama facebook
n.k
Demiss ni mtu wa singida, alisoma ualinu aliishia ngazi ya Cheti. Wakat flan alikua idle anaishi dodoma na ndo wakat ambapo Jamii forum ilimkoma. Labda keshaajiriwa kawq mtumishi wa serikali kaachana na vurugu za humu
 
Why all those transitions? Huwa mnakuwa mmeharibu mahali ama?[emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Si unajisikia tu kubadili, na ukizingatia sasa hivi tunaweza kubadili wenyewe basi nikijisikua tu nabadili. Nishairudia Atoto na Espy mara mbili. Halafu kwani kuna tatizo gani kubadili?
 
Mkuu kwanza kabisa I took no pleasure in it, nilisoma na kuipuuza maana havinihusu.
Ya pm au nje ya Pm yabaki hukohuko haitakuja kutokea mimi kuanika mtu na nimepatana na wengi tu humu.
Kikubwa ni kwamba Kama una maisa yako ishi maisha yako huko uliko sio uje kujianika humu.

Stay low don't bunk to the guys to have spotlight and attention.
Kama angekua anafanya yake kimya kimya asingekutwa na yaliyo mkuta, kosa kubwa alilolifaya hua ana tabia ya Ku-Attack watu humu. Ndio maana anguko lake lilifurahiwa na wengi.
Again; Stay low, if you build in silence your enemy won't know where to attack
Jamaa una akili sana wewe
 
Sahihisha hapo Mkuu.."Anguko lake lilifurahiwana wengi."

Hivi ki binadamu unaweza kufurahia mabaya yanapompata mwingine? Wakati huo nani amejua yako/yangu?
Nadhani inahitaji moyo wa kishujaa sana..

Sent using Jamii Forums mobile app
Yes mbona ndio maisha ya wanadamu kwani we mgeni, Bashite mbona watu wameshangilia
 
Na wanawake wenzake hapa JF ndio walikua wanafurahia kishenzi alivyochanwa,maana alikuaga anawa outshine kwa kuleta story zake upambanaji wake,sijui independent woman mara ladyboss na blah blah kibao na mara kibao tu walikua wanampiga vijembe vya kutosha tu hapa hapa JF.

Leo naona wanazuga eti walisikitika kwa yaliyomkuta, wanawake bana.
Jamaa yangu wewe sio mnafiki hata kidogo.....
 
Back
Top Bottom