Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Nilishamla mshana, naomba hiyo helaNaomba niweke dau Mshana Jr ....Dadaz njooni Pm mwenye kuprove hiki anakisema mwamba Leo atapata kitita...sitanii Warembo ushahidi unahitajika tafadhali....@Muzine Evelyn Salt ..free money awaiting for u
Hapana...umekosea!Mkuu wewe ndio ulikuwa na Id ya mguu umechorwa tatoo inaitwa reynavero kama sijasahau?
Poa myHebu ngoja nifanye kitu nione hapa maana hii si bure [emoji848]...
Naja now dina
Sijui Mary mara mguuu. Naona mashkolo tuVipi hivyo? Nambie kichwa cha habari nikupe daily news [emoji16][emoji16][emoji16]
Shoo yataka moyo wa chuma !!jus imagine anaweka sura yako na mambo yako hadharani mkwee...wee acha tu best yaani usiombe ukutwe na bwana Pepsi!!!!Yaaani Demiss alikua ananifurahisha sana. Sema angerudi tu bwana na ID yake
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Oooh habari hapa hapa au pm? 😁
Hapo sasa ,hakuna jipya duniani saana maana humu wote ni watu wazima...ila daah wanawake tunadhalilishwa sana!Utafikiri kuliwa ni jambo lá ajabu au kulana
Ila maisha lazima yaendeleeShoo yataka moyo wa chuma !!jus imagine anaweka sura yako na mambo yako hadharani mkwee...wee acha tu best yaani usiombe ukutwe na bwana Pepsi!!!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Ntatafuta aliyefanana na wewe.... sio kwa tabia mbaya lakini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Babu sasa utacheza na nani?
Alikuwa anamponda sana JPM hata mimi alinikwazaPoa G..
Hayakuwa mambo ya kutagiana...kuona Mwanamke mwenzangu anadhalilishwa haifurahishi..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha...kawaida tu kila kitu kina sababu pia!nashukuru nakutana na waungwana hawanaga mambo meusi..Nawaombea pia waendelee hvyo hvyoo!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan najuta kuchelewa kujiunga JF, kulikua kwa moto, uwiiiiih
Pm ndo utanipa vizuri. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Oooh habari hapa hapa au pm? [emoji16]
Am telling you mtu akiamua kukoutshine tu..baasi so be careful...very careful dear japo kuna wema tena wengi Sana...kwenye mamba na kenge wamo!Mbna unanitisha ujue? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wengine wasivyopendwa humu, wataanikwa na picha zao, bora kuwa mpoleeeh tyuuh.
Sasa kwa nini amlipue si kweli alikua anakula mshahara wake jamanii[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!!!daaah!!!kwani si wameuziana?au alikua mmewe au mpenzi wake kampa bure...?!!yule jamaa aliemlipua siku ile si akapigwa ban ya maisha?
Nakumbuka ilikuwa mwisho wa mwezi demiss akaweka picha akidai anakula mshahara hotelini
Kumbe siku hiyo alikuwa na huyo jamaa pembeni ananyanduliwa
Jamaa akazileta picha full baadae dah
Wewe hujawahi kujikweza wala kuponda hovyo....Mimi hata wanianikaje humu sibadili id ng'o!!!!!!!
Mbona na wewe ulikuwa unamsifia Hadi ujinga nilichokifunza watu tuheshimiane na hatuwezi kufanana mitazamo banaAlikuwa anamponda sana JPM hata mimi alinikwaza
Humu mods thread's za kuzalilisha wanawake huwa hazitolewi haraka zinaachwa tu I think we have sadist moderatorsHapo sasa ,hakuna jipya duniani saana maana humu wote ni watu wazima...ila daah wanawake tunadhalilishwa sana!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app