Demiss amepotelea wapi?

Wanaadamu wanafiki sana...na maisha bila unaafiki hayaendi Mimi ule Uzi niliona but nlipotezea kumbe ndo ulienda halijojo huko mbele!!![emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Ila siku hizi if mitanange imepungua zamani uwii anatoka huyu anaingia mwingine mwezi kila siku michambo daaah
Siku hizi amani [emoji23]
It was firee...loooh!mpk wanawake kwa wanawake wanachambana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!!!yaani acha kabisaa!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Maisha bila unafiki hayasongi....!!!nakukubali sana hunaga drama weyee!uko real!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Kila Mishe kafanya anaijua na inamuingizia pesa!! Mimi pia nilikua napita tu comments zake maana nilikua naona drama tu!!

Kumbe hakuna cha migodi wala nini daah[emoji23][emoji23][emoji23]

Unajua mtu kujimwambafai anavyotaka sio mbaya ilimradi usitweze heshima wengine.

Mbona Kiduku Lilo anafahamika sana kwa tambo JF nzima lakini ana wafuasi dunia nzima.

Shida inaanza unapotaka kuanza kudharau wengine kwamba hawana juhudi na hawashughulishi akili kupambana na maisha. Wakati huo unajisifia vitu usivyokua navyo, hapo lazima tu upigwe daflau.

Ikumbukwe binadamu tuna roho mbaya (wivu) inabidi kujitahidi sio kidogo uweze kufurahia kwa dhati mafanikio ya wengine.
 
Aaahh!wapi kuna watu wamedhalilishwa humu Sana'a...wakatajwa mpk majina yao na wanakomaa na I'd zao hizo hizo mbonaa....!!!


Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Ana bahati mbaya sana mbiti maaana unakumbuka mpk nudes pictures zake zishawahi tumwa humu!sijui anapataga mkosi yule Dada...yaani Mungu amsaidie sana ajikaze tu huko aliko...!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Kila Mishe kafanya anaijua na inamuingizia pesa!! Mimi pia nilikua napita tu comments zake maana nilikua naona drama tu!!

Kumbe hakuna cha migodi wala nini daah[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanadamu tunatofautiana ujue....yeye ile ndo furaha yake...!!sometimes ujue jf ndo stress release ya watu wengi...!!!Kumsamehe tu!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…