Wanaadamu wanafiki sana...na maisha bila unaafiki hayaendi Mimi ule Uzi niliona but nlipotezea kumbe ndo ulienda halijojo huko mbele!!![emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]!!!Maisha ni magumu sana Kipenzi, Mtu anavyohangaika kutafuta ridhiki mpaka anazulumiwa kuja kulalamika sio kosa.
Binafsi sikupenda jinsi alivyokua anamzodoa yule kaka na nilicomment.
Ila JF kwenye ule uzi kuna watu walifurahi mdada kutolewa siri zake halafu huku wanajifanya kusikitika daah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Inaonekana amezitembelea sanaUnaonekana mzoefu sana😅 wa college of geto edukeshen😅
It was firee...loooh!mpk wanawake kwa wanawake wanachambana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!!!yaani acha kabisaa!!Ila siku hizi if mitanange imepungua zamani uwii anatoka huyu anaingia mwingine mwezi kila siku michambo daaah
Siku hizi amani [emoji23]
Hilo haliwezekani kabisa babu, pengo langu halizibiki.Ntatafuta aliyefanana na wewe.... sio kwa tabia mbaya lakini
Maisha bila unafiki hayasongi....!!!nakukubali sana hunaga drama weyee!uko real!!!Acha uoga mkuu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]. Humu wote tunaigiziana maisha. Avatar, tunavyoandika na uhalisia ni tofauti.
Ukimuelewa mtu zama pm chaaap maisha yake mazuri utayajua huko mbele mkishaonana.
Sema tu kaka zetu mnalalamikaga eti sisi tuna sura za ancestors wetu ndo maana hawatufuati hawataki kupoteza muda
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Kulana kuendelee.....!!!![emoji28][emoji1][emoji1][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]!!!ila kwa staha!!!Na sasa hivi kukulana kunanoga hakuna mfano. Tuendelee kukulana ila kwa staha
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Siwezi kumuanika mkunaji wangu.... Mshana Jr 😁😁Weka ushahidi pm unaipata pesa kabla jua halijazama
Simara jamani....!!!why?!!!![emoji1][emoji1][emoji10][emoji10][emoji10][emoji10][emoji10][emoji10][emoji10]!!!Mimi nimechoka na kucheka[emoji23][emoji23][emoji23]kule walifurahi huku wanasikitika[emoji23][emoji23]
Mimi nilifurahia niwe mkweli[emoji23][emoji23]
Kila Mishe kafanya anaijua na inamuingizia pesa!! Mimi pia nilikua napita tu comments zake maana nilikua naona drama tu!!
Kumbe hakuna cha migodi wala nini daah[emoji23][emoji23][emoji23]
Shahidi mmoja hakutosha kumfunga Sabaya weka Cctv pm mpunga natuma soonMim ni shahidi kabisa niliwasindikizae hotel
Mpe tu hela yake aisee
SanaaaaaaInaonekana amezitembelea sana
Aaahh!wapi kuna watu wamedhalilishwa humu Sana'a...wakatajwa mpk majina yao na wanakomaa na I'd zao hizo hizo mbonaa....!!!Sio kwa JF aisee..watu wakikaa kidogo wanakumbushia..unakua bullied. Huwezi kuwa na amani especially kama una roho legevu[emoji23]
Kama hapa hii issue ina miezi ila watu wamefukua..mwakani tena unakuta kinaulizwa kingine linaingizwa na la mane..unavumilia mwisho unabadili tu
Unataka kumuhabiria jumba bovu lakeSiwezi kumuanika mkunaji wangu.... Mshana Jr 😁😁
UnaotaLord have mercy
Mbitiyanza ni Manengelo kumbe?
Hivi mimi nimelogwa au naota?
Sijauona mbona mupenzi, nitumie tena
Ana bahati mbaya sana mbiti maaana unakumbuka mpk nudes pictures zake zishawahi tumwa humu!sijui anapataga mkosi yule Dada...yaani Mungu amsaidie sana ajikaze tu huko aliko...!!!Mimi siko katikati jamani. Sikupenda tu yote yaliyotendeka. Sawa mwenzetu alikosea ila ile adhabu aliyopewa ilikua kubwa sana. Ugomvi wa mawe mwenzie akashusha guruneti.
Ila naamini alijifunza kitu Wangari.
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Utakuwa na PM nyingi sana wewe[emoji23][emoji23][emoji23]Sijauona mbona mupenzi, nitumie tena
Wanadamu tunatofautiana ujue....yeye ile ndo furaha yake...!!sometimes ujue jf ndo stress release ya watu wengi...!!!Kumsamehe tu!Kila Mishe kafanya anaijua na inamuingizia pesa!! Mimi pia nilikua napita tu comments zake maana nilikua naona drama tu!!
Kumbe hakuna cha migodi wala nini daah[emoji23][emoji23][emoji23]
Kama unabisha nipe mkonooo...[emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1]Hahahahahahahaha
Jamani eeh nasema hamniwezi kiselekali,kihela na kiuchawi[emoji16][emoji16][emoji38][emoji38]