Demiss amepotelea wapi?

Demiss amepotelea wapi?

Maisha ni magumu sana Kipenzi, Mtu anavyohangaika kutafuta ridhiki mpaka anazulumiwa kuja kulalamika sio kosa.

Binafsi sikupenda jinsi alivyokua anamzodoa yule kaka na nilicomment.

Ila JF kwenye ule uzi kuna watu walifurahi mdada kutolewa siri zake halafu huku wanajifanya kusikitika daah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Wanaadamu wanafiki sana...na maisha bila unaafiki hayaendi Mimi ule Uzi niliona but nlipotezea kumbe ndo ulienda halijojo huko mbele!!![emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Ila siku hizi if mitanange imepungua zamani uwii anatoka huyu anaingia mwingine mwezi kila siku michambo daaah
Siku hizi amani [emoji23]
It was firee...loooh!mpk wanawake kwa wanawake wanachambana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!!!yaani acha kabisaa!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Acha uoga mkuu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]. Humu wote tunaigiziana maisha. Avatar, tunavyoandika na uhalisia ni tofauti.

Ukimuelewa mtu zama pm chaaap maisha yake mazuri utayajua huko mbele mkishaonana.

Sema tu kaka zetu mnalalamikaga eti sisi tuna sura za ancestors wetu ndo maana hawatufuati hawataki kupoteza muda

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Maisha bila unafiki hayasongi....!!!nakukubali sana hunaga drama weyee!uko real!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Kila Mishe kafanya anaijua na inamuingizia pesa!! Mimi pia nilikua napita tu comments zake maana nilikua naona drama tu!!

Kumbe hakuna cha migodi wala nini daah[emoji23][emoji23][emoji23]

Unajua mtu kujimwambafai anavyotaka sio mbaya ilimradi usitweze heshima wengine.

Mbona Kiduku Lilo anafahamika sana kwa tambo JF nzima lakini ana wafuasi dunia nzima.

Shida inaanza unapotaka kuanza kudharau wengine kwamba hawana juhudi na hawashughulishi akili kupambana na maisha. Wakati huo unajisifia vitu usivyokua navyo, hapo lazima tu upigwe daflau.

Ikumbukwe binadamu tuna roho mbaya (wivu) inabidi kujitahidi sio kidogo uweze kufurahia kwa dhati mafanikio ya wengine.
 
Sio kwa JF aisee..watu wakikaa kidogo wanakumbushia..unakua bullied. Huwezi kuwa na amani especially kama una roho legevu[emoji23]

Kama hapa hii issue ina miezi ila watu wamefukua..mwakani tena unakuta kinaulizwa kingine linaingizwa na la mane..unavumilia mwisho unabadili tu
Aaahh!wapi kuna watu wamedhalilishwa humu Sana'a...wakatajwa mpk majina yao na wanakomaa na I'd zao hizo hizo mbonaa....!!!


Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Mimi siko katikati jamani. Sikupenda tu yote yaliyotendeka. Sawa mwenzetu alikosea ila ile adhabu aliyopewa ilikua kubwa sana. Ugomvi wa mawe mwenzie akashusha guruneti.
Ila naamini alijifunza kitu Wangari.

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Ana bahati mbaya sana mbiti maaana unakumbuka mpk nudes pictures zake zishawahi tumwa humu!sijui anapataga mkosi yule Dada...yaani Mungu amsaidie sana ajikaze tu huko aliko...!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Kila Mishe kafanya anaijua na inamuingizia pesa!! Mimi pia nilikua napita tu comments zake maana nilikua naona drama tu!!

Kumbe hakuna cha migodi wala nini daah[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanadamu tunatofautiana ujue....yeye ile ndo furaha yake...!!sometimes ujue jf ndo stress release ya watu wengi...!!!Kumsamehe tu!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom