Demiss amepotelea wapi?

aaah mods walifuta uzi, kiufupi tu kuna mdau aliweka vyote hapa kuhusu bibie, utapeli, uuzaji 'kipochi manyonya' na kusingizia ana 'mgodi' sjui, na kadhalika
Daah nlikuaga najua manengelo ni dem fln classy sana na zile pigo za uuzaji madini alizokua nazo ni balaa, Af Kona za machimboni alikua anazijua kweli kama vle alishawahi kuhusika na hizo mambo
 

Wapo kivingine; usiwe na wasiwasi! Mfano mimi ndo Mama facebook
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…