kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,192
- 5,685
Oya ilikuaje.....ile movie ilikua tam sana, kubwa la maadui alifia kwenye maua
Tunapitwa na mengi sana huku kolomije
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oya ilikuaje.....ile movie ilikua tam sana, kubwa la maadui alifia kwenye maua
ndiye wangari mathai uyo , muvi yake ilichezwa hapa miezi michache iliyopitaongezea na @manengelo
Noma babu,niliichabo humu ile snapWahuni sio watu 😅😅😅
Marahaba sweetheart...😘Yan humu urafiki wa kawaida tu
Ushimen shkamoo?
Kwahio mtoto jasi sanaNoma babu,niliichabo humu ile snap
Daah nlikuaga najua manengelo ni dem fln classy sana na zile pigo za uuzaji madini alizokua nazo ni balaa, Af Kona za machimboni alikua anazijua kweli kama vle alishawahi kuhusika na hizo mamboaaah mods walifuta uzi, kiufupi tu kuna mdau aliweka vyote hapa kuhusu bibie, utapeli, uuzaji 'kipochi manyonya' na kusingizia ana 'mgodi' sjui, na kadhalika
aah kumbe zote izo ilikua kwa hisani ya TATEPA,Daah nlikuaga najua manengelo ni dem fln classy sana na zile pigo za uuzaji madini alizokua nazo ni balaa, Af Kona za machimboni alikua anazijua kweli kama vle alishawahi kuhusika na hizo mambo
Wapendwa poleni kwa giza na kutokuoga kwa siku kadhaa huko mjini wakati bahari, maziwa na mito ipo teleeee.
Poleni wale wenye simu changamoto za battery, sisi wa simu original tunapeta tu.
Nauliza member mwenzetu Demiss amekuwa kimya imekuwaje? Amepotelea wapi? Wanaomfahamu please details tafadhari.
Wengine waliopotea humu ni;
1. massai dada
2. mama facebook
n.k
mbona umejibu kama parody fln hvHapana mkuu mimi si hao wakina demiss ambao wanajitangaza pindi wanapolala na wanaume humu ndani.
Twende tukayajenge PM...😋Wapwa wapo poa sana. Nshamiss mambo yetu yalee, kwanini hujanicheki muda hivo?
[emoji23]Yule jamaa hana huruma kabisa..alimlipua sana aisee yule bibie.aaah mods walifuta uzi, kiufupi tu kuna mdau aliweka vyote hapa kuhusu bibie, utapeli, uuzaji 'kipochi manyonya' na kusingizia ana 'mgodi' sjui, na kadhalika
Naomba
Asee mrudishe au niambie alizingua nini?[emoji848][emoji848]Lara 1 mi ndo nilimpeperusha JF baada ya kumuanika.
Huyu yupo amerudiPia MLEVi Mmoja amepotea mno
Niforwardie humu 0692507838Njoo nikupe
Duh mbona bibie sio wa hivyo kama mnavosema jamani. Kwani huyo jamaaa alimplipua kwa lipi?[emoji23]Yule jamaa hana huruma kabisa..alimlipua sana aisee yule bibie.