Demiss amepotelea wapi?

Me nilikuwa naye SAMBAMBA nikaingizwa na mie nikachambwaa na Uzi juu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Nilimwambia we tukana tu ila usitegemee nitakimbya

ia hii Id.

Sahivi mjamaa tunakwotiana fresh 'alibadili id sijui anajua hajulikani πŸ˜€
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Yaani sasa hata Mwanamke humu akianzishiwa uzi hakuna kubadili I’d ukauzu mwanzo mwisho
 
[emoji16][emoji23][emoji16][emoji6][emoji16][emoji2][emoji2][emoji1][emoji28]

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Kuna Bidada humu , Rafiki anguu....


Si akaingizwa king na Dreva wa wa hizi gari za STL .

Ilibakia kidogo aliweee, ila Jamaa alimpiga Bidada mizinga ya kutosha.[emoji23][emoji23][emoji23]


Bidada kwao wana mpunga !!!.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ maskiniiii

Yan humu ndani ni 'play at your own risk.
 
Aiseee
 
Weeeeeeeeh!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1544]
 
Mzee unaupiga mwingi.
 
Endelea kupenda nyuzi zake Demiss yupo humu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…