Me nilikuwa naye SAMBAMBA nikaingizwa na mie nikachambwaa na Uzi juu ππππ
Nilimwambia we tukana tu ila usitegemee nitakimbya
πππYaani sasa hata Mwanamke humu akianzishiwa uzi hakuna kubadili Iβd ukauzu mwanzo mwishoia hii Id.
Sahivi mjamaa tunakwotiana fresh 'alibadili id sijui anajua hajulikani π
Aiseee vijana mna mambo haya nimekuelewauwe mwanamke mzuri.....
hizo standard tunazijua wenyewe
[emoji16][emoji23][emoji16][emoji6][emoji16][emoji2][emoji2][emoji1][emoji28]Wacha tusubiri tuone !!!
Na mnavyojua Kuongea..
Hiyo siku mtatuua.
Ewe Bidada, uliyefanikiwa kuniona ,tukajuana..
Nipo chini ya miguu yako , Mimi ni mweusii tiii, mbwemba, Mbaya wa sura .
Nikiwa natembea kwambali unaweza ona ni "Kamzimu kanakuja".
Tafadhali, usije kunimwaga humu.
πππ maskiniiiiKuna Bidada humu , Rafiki anguu....
Si akaingizwa king na Dreva wa wa hizi gari za STL .
Ilibakia kidogo aliweee, ila Jamaa alimpiga Bidada mizinga ya kutosha.[emoji23][emoji23][emoji23]
Bidada kwao wana mpunga !!!.
Hapa? Abadani asilaniNani huyo?
Ila wanaume wa humu wapo vizuri sana au wanavutia mno??
Mungu atunusuru...!!!Uzi unasonga kwa speed ya 5G.
Nahisi huu uzi lazima kitanuka tu,ni jambo la muda.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapa? Abadani asilani
Kaka ana matusi yule akhuuu...[emoji23][emoji23]
Kule utakuta text.
Kabisaa yaani kuomba yasikukute lakini yakikukuta wee....utaomba pooohh!!!wallahi yanauma haswaa...usiombe jamani wee!Ni Ujasiri mzuri ...jitahidi sana yasikukute hayo.
Otherwise ,utabadili au kukimbia kabisa.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji11]loohh!tunakoma mbonaa!!Hapa? Abadani asilani
Kaka ana matusi yule akhuuu...[emoji23][emoji23]
Kule utakuta text.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapa? Abadani asilani
Kaka ana matusi yule akhuuu...[emoji23][emoji23]
Kule utakuta text.
Acha kabisa mkuuππ naogopaaVp mama kuna mtu ameshika faili lako!!
AiseeeHaswaa.......
Mimi iliwahi nikuta hiii, kupitia huyu Bidada .... Waangari maathai a.k.a Manengelo ...a.k.a Mbityaza ,kabla ,akijiita Mrs Air.
Wakat huo najiita Vladmirovich Putin
mambo yakawa motoo mpaka kuweka miadi ya Kuzaa mtoto wakike , wakati huo akiishi Jiran na Dar.
Ila baada ya muda, tulipishana Kwa mambo Fulani ivi ambayo AKILI YANGU Ilishtuka.
Ebwanaaaa nikaja kupishana naye kwenye UZI mmoja hivi.....
Demu alinitapikiaa, demu akaanza kunichomeaaa maneno, mashost zake wakaunganaaa wee kunishambuliaaaa
BAD THING akaamua kutumia KILE alichokijua Kwa wakat ule wa motomoto , kunihukumu humu JF.
NikamPM...plz achaaa...wapiii
Plz...achaaa.....wapiiiiiiiii
Plz ..acha....wapiii..
Plzz sio vzuri kuandika hayooo..wapiiii
Weee akaungana na Mashost zake , mashambulizi yakawa ya makombora ya masafa marefuu..
UONGOO akaufanya ukawa mwingiii juuu yangu..
Kuna njemba ziko kama wanawake nazo zikashabikiaaa...
DEMU AKAANZA KUTOA DETAILS ZA NDANI NDANI KABISA...
NILIPOONA UONGO NA UCHAFUZI UNAZIDI...
NIKAAMUA KUPIGA SCREENSHOTS PM, NIKAZIMWAGA WAZIIIIIII
ILI WATU WAJUE ,NANI MKWELI .... ( HILI JAMBO NILILITENDA NA SIKUWAHI KABISA KUJUTIA )
NDIO MAANA SIKUBADILI ID YANGU WALA SIKUKIMBIA .
IKAWA MWISHO !!!!
[emoji101][emoji101][emoji101] BAHAT MBAYA, ALIYEZOEA KUNYONGA, KUCHINJA HAWEZI...... ALIKUJA KUJICHANGANYA KWA WAHUNI...WAHUNI,WASOTAKA UJINGAAA ,WAKAMFANYA MABAYA, NAO WAKAMWAGAAA.....
Weeeeeeeeh!We mjanja[emoji38][emoji38][emoji1787]
Kuna mmojwapo kapotea humu na ananangwa kweli kwenye huu uzi sasa cha ajabu kwa ID nyingine kakomenti qoute anayochambwa nayy anajichamba tena vibaya mno[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787]
Humu kuna vichaa asee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mzee unaupiga mwingi.Haswaa.......
Mimi iliwahi nikuta hiii, kupitia huyu Bidada .... Waangari maathai a.k.a Manengelo ...a.k.a Mbityaza ,kabla ,akijiita Mrs Air.
Wakat huo najiita Vladmirovich Putin
mambo yakawa motoo mpaka kuweka miadi ya Kuzaa mtoto wakike , wakati huo akiishi Jiran na Dar.
Ila baada ya muda, tulipishana Kwa mambo Fulani ivi ambayo AKILI YANGU Ilishtuka.
Ebwanaaaa nikaja kupishana naye kwenye UZI mmoja hivi.....
Demu alinitapikiaa, demu akaanza kunichomeaaa maneno, mashost zake wakaunganaaa wee kunishambuliaaaa
BAD THING akaamua kutumia KILE alichokijua Kwa wakat ule wa motomoto , kunihukumu humu JF.
NikamPM...plz achaaa...wapiii
Plz...achaaa.....wapiiiiiiiii
Plz ..acha....wapiii..
Plzz sio vzuri kuandika hayooo..wapiiii
Weee akaungana na Mashost zake , mashambulizi yakawa ya makombora ya masafa marefuu..
UONGOO akaufanya ukawa mwingiii juuu yangu..
Kuna njemba ziko kama wanawake nazo zikashabikiaaa...
DEMU AKAANZA KUTOA DETAILS ZA NDANI NDANI KABISA...
NILIPOONA UONGO NA UCHAFUZI UNAZIDI...
NIKAAMUA KUPIGA SCREENSHOTS PM, NIKAZIMWAGA WAZIIIIIII
ILI WATU WAJUE ,NANI MKWELI .... ( HILI JAMBO NILILITENDA NA SIKUWAHI KABISA KUJUTIA )
NDIO MAANA SIKUBADILI ID YANGU WALA SIKUKIMBIA .
IKAWA MWISHO !!!!
[emoji101][emoji101][emoji101] BAHAT MBAYA, ALIYEZOEA KUNYONGA, KUCHINJA HAWEZI...... ALIKUJA KUJICHANGANYA KWA WAHUNI...WAHUNI,WASOTAKA UJINGAAA ,WAKAMFANYA MABAYA, NAO WAKAMWAGAAA.....
Endelea kupenda nyuzi zake Demiss yupo humu mkuuKatika wanawake niliokuwa napenda kila siku nisome uzi au comments zake alikuwa mchizi Demiss huyu dada alikuwa na kitu pekee juu ya uwakilishi wa maandishi yake. Niwe mkweli nimemmiss sana huyu dada Demiss la Lara1.
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Kwanini mkuu?Nazima jf kwa muda aisee.
Huyo ni account yake nyingne ni beef lasagnaHuyu dada alizabangwa ile kinoma humu jf
π€£π€£π€£ maana tunasemwa[emoji3][emoji3][emoji3]hii ramli chonganishi dyadyaa...!!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app