Demiss amepotelea wapi?

Mimi peke yangu ndo niliponaga [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Yaani [emoji23][emoji2][emoji2][emoji2]halafu hujawahi pata ba wewe na kama ulipona pale hupati tena aseeh...maana yalimwaga matusi mule...!!!![emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji2][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]hapana aseehh!tumekua bwana!!;

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Sema mimi matusi nahisi ndo yaliniponya maana kutukanana siwezi

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Nimekupenda bure.
 
Hapana... we tafuta sababu nyingine ya kunipiga kibuti, ila usinipe dhambi isiyonihusu.

Nataka kama nikienda motoni basi niende kihalali, sio kwa kupakaziwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jaman jaman, we haya tyuuh
 
Nyie wanawake kwan mna shida ?? Hata hamna shida.

Shida iko upande wapili

Yaan MTU kula mbususu ya MwanaJF ,anaona kala mbususu ya Sayari ya Mars ,kiasi kwamba , atawashwa washwa weeee, atafute lakuja nalo ,ili mradi aonekane naye kala MZIGO humu.
😂😂😂😂
 
Nimekupenda bure.
[emoji1][emoji1][emoji1]hakuna jipya chini ya ardhi yoote yashafanywa marudio tuu!!!na ndo ukweli kua tunakulana humu[emoji23][emoji23]twende mbali wakati humu watu wapo!!mtaani hawatuoni tupo vibaruani,kazini wanatuona Dada zao,jf ndo kijiweni kwetu sasa!!!acha tuamshe popo!!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Uko sahihi 100%, kama mimi kazi yangu inanikaba sipati pa kupumulia, sina pa kupata mbususu zaidi ya humu na walahi nitaoa humuhumu, sema tusitiriane jaman,mambo ya faragha tuyaache faraghani mazee.
 
Uzuri upi unaozungumzia mkuu
Unauma na kupuliza sio Kaka mkubwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…