Demiss amepotelea wapi?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] subiri ulipuliwe na wee,
 
Hahahahaa. Sema yote yamepita maisha yakaendelea

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] subiri ulipuliwe na wee,
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]acha kabisaa nshawahi tishwa PM siku moja wee..nilidinda balaa nilimjambishaa....mpk Leo anajua miye kichwa kibovu...hata ikitokea poa tu life litasonga...ila mi najitahidi kufahamiana na watu makini humu...wanaojielewa kiukweli they r good people nawaomba mpk vocha za jero[emoji3][emoji3][emoji3]na wanatoa na siwezi kuishi nimefulia wakati washkaji wapo humu...!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 

Hayo si ndiyo waungwana wanaita kutishiana nyau?

Kwenye hili tunaosimama na Wangari Maathai tujuane.
 
Nyie wanawake kwan mna shida ?? Hata hamna shida.

Shida iko upande wapili

Yaan MTU kula mbususu ya MwanaJF ,anaona kala mbususu ya Sayari ya Mars ,kiasi kwamba , atawashwa washwa weeee, atafute lakuja nalo ,ili mradi aonekane naye kala MZIGO humu.
Ndo ujinga wa baadhi ya watu yaani wana utoto mwingi sana!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 

Mkuu mbona hamna China hapo?

Mtu hawezi kukaa chini akazusha utopolo convincing kumhusu huyo njemba kuliko huu?

Wangari Maathai kama ndiye alikuwa mlengwa, haku deserve kutishiwa nyau na wakulungwa kirahisi rahisi namna hiyo.
 
Sema mimi matusi nahisi ndo yaliniponya maana kutukanana siwezi

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]yaani nilikula ban 3months takatifu nakumbuka ilikua inaisha 3rd November of that year...[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16]namfata shunie ananipa pole akanipa namba ya Max,wasap Melo ananiuliza unataka iishe lini[emoji3][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji16]!!!!namuambia leo hii anajibua hayaa...akantoa kwenye mabano[emoji2][emoji2][emoji1][emoji28][emoji28]sina hamu..halafu Vladmir akaka nje mda kidogo ya jf kwa ban...!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka, kna watu wako vzuri humu wee acha tyuuh, kna some body iv aaah najuta why nilizinguan nae, yuko poaa mno, na alinielewa na kunikubali, kanisave sana, nmemiss miamala yake kwa kweli,

JF 4 life, tusubiri kulipuliwa. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…