Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Lol hahaha.Alooooo sio mchezo... kiuhalisia anaonekana mdogo ilaa balaa lake utalijua ukiingia 18 zake anakupa huku anatabasamu mwenyewe wala haudhiki ..
[emoji23][emoji23][emoji23] naomba no ya melo PM, plz maana modes wanavonifanyia hapan kwa kweli. Nipo seriouz shostie.[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]yaani nilikula ban 3months takatifu nakumbuka ilikua inaisha 3rd November of that year...[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16]namfata shunie ananipa pole akanipa namba ya Max,wasap Melo ananiuliza unataka iishe lini[emoji3][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji16]!!!!namuambia leo hii anajibua hayaa...akantoa kwenye mabano[emoji2][emoji2][emoji1][emoji28][emoji28]sina hamu..halafu Vladmir akaka nje mda kidogo ya jf kwa ban...!!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Mie huyu? [emoji23][emoji23][emoji23] mbna ningebadili mda, hii ngoma mpera mpera, mlingoti chuma, bendera chuma, gusa unate. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukijilegeza utabadilisha ID bila kupenda,kaza
Na Wale viguvugu pia nivema tukajuana ilaa sisi ndo tutachomwa moto mpaka kushoto hatupo kulia hatupo![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uko sahihi ya faragha yaishie faragha jamani...!!looh!kuhusu kuoa mbona watu wanaona humu!kuna kapo naijua wako almost 13 years now ni product ya jf tena ni watz wenzetu!!!Mungu ndo anajua mwenza wampata wapii!!!humu kuna watu wamezaa humu wako pamoja wengine wameachana n.k!!bahati mbaya ukikutana na jini mkata kambaUko sahihi 100%, kama mimi kazi yangu inanikaba sipati pa kupumulia, sina pa kupata mbususu zaidi ya humu na walahi nitaoa humuhumu, sema tusitiriane jaman,mambo ya faragha tuyaache faraghani mazee.
Kwa mpalangeKwa mpalangee...au kwa abiola?![emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji3]
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Mimi bwana nawaza mashosti zangu wako jf then hawajui km Mimi ndo nshalipuliwa sasa[emoji2][emoji1][emoji1]shida ntaonekana mbea wa siri za watu looohh![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka, kna watu wako vzuri humu wee acha tyuuh, kna some body iv aaah najuta why nilizinguan nae, yuko poaa mno, na alinielewa na kunikubali, kanisave sana, nmemiss miamala yake kwa kweli,
JF 4 life, tusubiri kulipuliwa. [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka,safi nimependa ujasiri wako.Mie huyu? [emoji23][emoji23][emoji23] mbna ningebadili mda, hii ngoma mpera mpera, mlingoti chuma, bendera chuma, gusa unate. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16]afu sina tena ujue sikusave kwenye google...muambie@mzigua90 akupe...!!ningekupa shoo!!yaani max ana huruma sana ujue...then bonge la muungwana yaani acha kabisa ban miezi 3 sijaka hata 24 hrs[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]ila nimeacha matusi thiku hidhiii!!![emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]mmekua mthtaaaraabu..[emoji23][emoji23][emoji23] naomba no ya melo PM, plz maana modes wanavonifanyia hapan kwa kweli. Nipo seriouz shostie.
Usiogope ustoke hewani Dada[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]Kwa mpalange
Hapo kwenye wakata kamba nakazia,hao ndio wapo wengi kwa kweli,wanaturudisha nyuma kwa namna flani ila no sweat tutafika kibishi hata kama tutakua tumechoka.Uko sahihi ya faragha yaishie faragha jamani...!!looh!kuhusu kuoa mbona watu wanaona humu!kuna kapo naijua wako almost 13 years now ni product ya jf tena ni watz wenzetu!!!Mungu ndo anajua mwenza wampata wapii!!!humu kuna watu wamezaa humu wako pamoja wengine wameachana n.k!!bahati mbaya ukikutana na jini mkata kamba
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Anavujisha siri za kambi.Punguza speed basi Carlos khah! Umetupiga na cha mbavu kwaile list hatujakaa vizuri unatupa unatupa tyuu Hapo sasa Fanya kuongeza miamala yakutosha aaaaaawww Unamteka mazima [emoji23][emoji23]!
Yaniii... Afanye kuvunga tu atupige vijembe tunaokulana humu !! bhaaaaasss!!Anavujisha siri za kambi.
Mapenzi bana,hapa utakuta kasha-shawishika mtu(natania tu)Yaniii... Afanye kuvunga tu atupige vijembe tunaokulana humu !! bhaaaaasss!!
Kesho utakua 2591[emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42]
Nimeishia komenti ya 1399 ntaendelea tumoro!!
Simara jamani....!!!why?!!!![emoji1][emoji1][emoji10][emoji10][emoji10][emoji10][emoji10][emoji10][emoji10]!!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app