Demiss amepotelea wapi?

Huyo jamaa nimejaribu kumtathmini sijampatia hta majibu
 
Hata wakati huo pia sikuoina. Ila kiukweli kabisa ingekuwa vizuri ikiwa ntamfahamu mpambanaji na mfanya biashara wa madini wa hapa Jf.
Naamini kuna atakaenitumia pm
Muombe Carlos[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kulikuwa na uthibisho gani kwamba aliyoyaanika huyo jamaa yana ukweli?
 
Sawa best mwenye utamu wake
[emoji12]
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Kwa hii comment inaonekana we ni mmoja wa hao haters wa huyo dada ila km kawaida wabongo kwa unafiki hpo mwisho umemalizia na kaunafiki km kawa.
 
Mchawi picha tu pm
Hayo mengine hayana shida. Mi namtambua kama mpambanaji mashuhuri na mfanya biashara wa madini wa Jf.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…