Demiss amepotelea wapi?

Demiss amepotelea wapi?

Katika wanawake niliokuwa napenda kila siku nisome uzi au comments zake alikuwa mchizi Demiss huyu dada alikuwa na kitu pekee juu ya uwakilishi wa maandishi yake. Niwe mkweli nimemmiss sana huyu dada Demiss la Lara1.


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Inashangaza sana..
Na wanaoyaleta wengi ni jinsia ya ME ni mara chache sana KE kuleta mambo kama haya humu..

Kuna huyo mpuuzi mmoja huyo nasikia yeye akishamkula Mwanamke humu akafanikiwa kupata mwingine tena JF kazi aliyonayo ni kumpondea au kuwapondea wote aliokuwa nao kwenye mahusiano..

Sent using Jamii Forums mobile app
Haaahaaa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Usikute wanapita na kuchangia hapa kwa ID nyingine
We mjanja[emoji38][emoji38][emoji1787]

Kuna mmojwapo kapotea humu na ananangwa kweli kwenye huu uzi sasa cha ajabu kwa ID nyingine kakomenti qoute anayochambwa nayy anajichamba tena vibaya mno[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787]

Humu kuna vichaa asee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Na atafutwe popote alipo. Au katekwa na watu wasiojulikana humu?! Au shem kambana sana?!
 
We mnjanja[emoji38][emoji38][emoji1787]

Kuna mmojwapo kapotea humu na ananangwa kweli kwenye huu uzi sasa cha ajabu kwa ID nyingine kakomenti qoute anayochambwa nayy anajichamba tena vibaya mno[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787]

Humu kuna vichaa asee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Witty 🤣🤣🤣🤣🤣

Usinifanye nikarudia upya kusoma comments..
 
We mnjanja[emoji38][emoji38][emoji1787]

Kuna mmojwapo kapotea humu na ananangwa kweli kwenye huu uzi sasa cha ajabu kwa ID nyingine kakomenti qoute anayochambwa nayy anajichamba tena vibaya mno[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787]

Humu kuna vichaa asee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. JF kuna vituko sana
 
We mnjanja[emoji38][emoji38][emoji1787]

Kuna mmojwapo kapotea humu na ananangwa kweli kwenye huu uzi sasa cha ajabu kwa ID nyingine kakomenti qoute anayochambwa nayy anajichamba tena vibaya mno[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787]

Humu kuna vichaa asee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hii ndio JF kuna watu humu hawako timamu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
We mnjanja[emoji38][emoji38][emoji1787]

Kuna mmojwapo kapotea humu na ananangwa kweli kwenye huu uzi sasa cha ajabu kwa ID nyingine kakomenti qoute anayochambwa nayy anajichamba tena vibaya mno[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787]

Humu kuna vichaa asee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Chaaa!
Witty[emoji3]

Nakuja pm[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
We mnjanja[emoji38][emoji38][emoji1787]

Kuna mmojwapo kapotea humu na ananangwa kweli kwenye huu uzi sasa cha ajabu kwa ID nyingine kakomenti qoute anayochambwa nayy anajichamba tena vibaya mno[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787]

Humu kuna vichaa asee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Nani huyo Shogaaaa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom