Demiss amepotelea wapi?

Demiss amepotelea wapi?

Demis walimlipuaga humu wakaanika picha zake,nadhani ni mwalimu huko dodoma.
Sasa picha zake sura ina pua kubwa" kweri kweri", wana wakawa wanaponda,akaonelea abadili ID ,akajiita muzine,hata hivyo imepoa. Au ana ID nyingine ambayo hatujaigundua.
Aisee!!
 
Kaka Mshana Jr this is very terrible kwakweli.Wasifunuane hivi.Ujue sijalala mawazooooo.
Pole bro wala huna kosa labda ulipokosea ni pale uliposepa mwamzoni na kuuacha uzi bila moderator watu wakajiachia.. Kuna vingine naomba nisiseme hapa lakini mada kama hizi zinatufundisha mengi hasa interaction zetu na watu tunaokutana nao na kuwaamini
Kuanzia sasa nakushauri usitoke hapa moderate replies nguvu itapungua
 
Hahahaha sijawahi kutoka na mrembo yoyote hapa JF trust me.. Yote ni ya chitchat tuu.. Kama yupo mmoja ajitokeze hapa
Naomba niweke dau Mshana Jr ....Dadaz njooni Pm mwenye kuprove hiki anakisema mwamba Leo atapata kitita...sitanii Warembo ushahidi unahitajika tafadhali....@Muzine Evelyn Salt ..free money awaiting for u
 
Back
Top Bottom