Amari
JF-Expert Member
- Nov 16, 2021
- 974
- 2,138
Kuna yule dada ni mjuba huko mtwara nae pini kweri kweri... Sijajua ilikuwaje akachagua ile kazi.Wazuri kweli....sio masihara!!!shunie,dinazarde na mzigua..hizi pini bwanaa!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna yule dada ni mjuba huko mtwara nae pini kweri kweri... Sijajua ilikuwaje akachagua ile kazi.Wazuri kweli....sio masihara!!!shunie,dinazarde na mzigua..hizi pini bwanaa!!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3]umenza eehh!!!Ndio maana juzi nikawarudisha kwenye Upugiii.
Tena nikawaomba mmoja wenu tu anionee huruma[emoji23][emoji23][emoji23]
Mwanamke Kama Shunie ,kwa uzuri wake alojaliwa , nasikia wakati anasoma.. Alikua akichelewa Shule.. Walimu wanapanga mstari kumuomba msamaha kwa kuwahi kwao kufika Shule kabla Malaika hajafika.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio maana juzi nikawarudisha kwenye Upugiii.
Tena nikawaomba mmoja wenu tu anionee huruma[emoji23][emoji23][emoji23]
Mwanamke Kama Shunie ,kwa uzuri wake alojaliwa , nasikia wakati anasoma.. Alikua akichelewa Shule.. Walimu wanapanga mstari kumuomba msamaha kwa kuwahi kwao kufika Shule kabla Malaika hajafika.
Shooga unatutafutia tuchambweWazuri kweli....sio masihara!!!shunie,dinazarde na mzigua..hizi pini bwanaa!!
Sasa wewe konki mastaa waogopa kuchambwa?!![emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1]!!we nyani mzee umekwepa mishale mingi sana![emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Shooga unatutafutia tuchambwe
HehehehSasa wewe konki mastaa waogopa kuchambwa?!![emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1]!!we nyani mzee umekwepa mishale mingi sana![emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Kuna kina Baba wapo hivyo[emoji3][emoji3][emoji3]Hahaah umeanza uliniota ndotoni eenh yaani baba ango ako na sura ngumu ya kiume ndio kanifanania kwa kila kitu ila namshukuru sana
Naanza mchakato mkuu!Tafuta na huyu careen
Ila kuna watu ukiwatazama unakubali tu mwenyewe mmm hapa Mungu alitulia.[emoji23][emoji23]Uzuri wa mtu upo machoni pa mtu......
Pole sanaDuuh huu uzi nimesoma mwanzo hadi mwisho. Kumbe 2018 yalitokea mengi daaah niliumwa nusu kufa sikuingia humu mwaka mzima.Ila Wangari ni soldier yamepita atarecover fresh kbs.
Demis amepotelea wapi....🤔🤔🤔Pole sana
Yupo kajaa tele kama pishi la mchele kibaba kizima[emoji3]Demis amepotelea wapi....[emoji848][emoji848][emoji848]
Pole sanaDuuh huu uzi nimesoma mwanzo hadi mwisho. Kumbe 2018 yalitokea mengi daaah niliumwa nusu kufa sikuingia humu mwaka mzima.Ila Wangari ni soldier yamepita atarecover fresh kbs.
Msalimie sana aliwahi nialika lakini sikutimiza ahadi [emoji23]Yupo kajaa tele kama pishi la mchele kibaba kizima[emoji3]