Demiss amepotelea wapi?

Demiss amepotelea wapi?

Ndio maana juzi nikawarudisha kwenye Upugiii.

Tena nikawaomba mmoja wenu tu anionee huruma[emoji23][emoji23][emoji23]


Mwanamke Kama Shunie ,kwa uzuri wake alojaliwa , nasikia wakati anasoma.. Alikua akichelewa Shule.. Walimu wanapanga mstari kumuomba msamaha kwa kuwahi kwao kufika Shule kabla Malaika hajafika.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3]umenza eehh!!!
Shunie
 
Ndio maana juzi nikawarudisha kwenye Upugiii.

Tena nikawaomba mmoja wenu tu anionee huruma[emoji23][emoji23][emoji23]


Mwanamke Kama Shunie ,kwa uzuri wake alojaliwa , nasikia wakati anasoma.. Alikua akichelewa Shule.. Walimu wanapanga mstari kumuomba msamaha kwa kuwahi kwao kufika Shule kabla Malaika hajafika.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahaah umeanza uliniota ndotoni eenh yaani baba ango ako na sura ngumu ya kiume ndio kanifanania kwa kila kitu ila namshukuru sana
Kuna kina Baba wapo hivyo[emoji3][emoji3][emoji3]
 
hao wengine wakishagawa mbususu kimasihala wanaamua kubadili id ili wasitambulike, kuna mwingine kama lala1 sijui aliendaga wapi alikua aanatuleteaga mastori ya mujini kama marehemu warumi r.i.p
 
Duuh huu uzi nimesoma mwanzo hadi mwisho. Kumbe 2018 yalitokea mengi daaah niliumwa nusu kufa sikuingia humu mwaka mzima.Ila Wangari ni soldier yamepita atarecover fresh kbs.
Pole sana
 
Back
Top Bottom