Demiss baada ya kupokea Salary ya August 2019!

Kama sio kweli yeye aje aseme tu " sio mm n wivu tu Ni wivu tu"[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji24]
 
Kuna mtu kapigwa pesa hapa sio bure.

Nachoshangaa ni mtu simu yake lakin watu wanataka kukupangia cha kupost [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Ndio maana kiduku lilo anawachanaga sana watu [emoji13][emoji13][emoji13]

Kesho tu tena Demiss ataleta uzi mwingine sijui watakasirika mpaka lini [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]

Kila mtu kajiunga kivyake iweje kupangiana
Hi
 
Wao hawataki kupangiwa ila wanataka kuwapangia watu vya kupost humu. Humu ndani utumbo ulojaa zaidi ni wa wanaume ila kujitia wao miungu watu sasa[emoji134][emoji134][emoji134]

Demiss akipost tu wanashoboka hatari, leo wanajifanya wasafii na wanachukia anachopost. Sijui ndio alikuwa na jamaa, jamaa akajihisi akaamua achomoe betri[emoji23][emoji23]
 
Kama nilivyokuambia angekuwa hapati followers..character yake humu ingeshakufa naturally...jifunze kuwa tolerant..humu kuna watu mbalimbali...usi espect wote tuimbe hallelujah humu...na kama genuinely unaona anakosea..ungemfata kistaarabu,
Kwani we @Rebecca unatete bishara ya ukahaba una interest na biashara hiyo ya kuuza papuchi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…